
Lindi wajipanga kupunguza vifo vya uzazi, watoto wachanga
Mkoa wa Lindi umeweka dhamira ya kuhakikisha vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga vinapungua hadi kufikia tarakimu moja.
Mkoa wa Lindi umeweka dhamira ya kuhakikisha vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga vinapungua hadi kufikia tarakimu moja.
Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.
Mchakato wa kuandika Katiba mpya unaonekana kuwa moja ya turufu katika uchaguzi mkuu 2025 huku Chama cha Wananchi (CUF), kikiahidi kuanza na rasimu ya Jaji Joseph Warioba na Katiba Inayopendekezwa.
KIGOMA: NAIBU Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Taifa Kilumbe Ng’enda amesema wamejiandaa kuhakikisha mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM, Clayton Chipando maarufu ‘Baba Levo’ anaingia bungeni katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 mwaka huu. Ng’enda amesema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa chama hicho mkoani Kigoma alipowasili kwa mapumziko … The post Wapania kumpeleka Baba Levo bungeni first appeared on HabariLeo .
Mpango wa Jiji la Arusha katika kuongeza mapato ya ndani na kupunguza migogoro ya ukusanyaji wake, linatarajia kuanzisha Mahakama maalumu ya kuwashtaki wakwepaji na wakwamishaji ulipaji wa kodi na ushuru.
Nina uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu na tulipanga mwishoni mwa mwaka huu nikatoe barua kwao na taratibu nyingine ili mapema mwakani tufunge ndoa.
Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi mambo mbalimbali wananchi wa Nyamongo, Wilaya ya Tarime, viongozi wa chama hicho wamevunja makundi yaliyotokana na ubunge wa Tarime Vijijini.
Vyama vitatu, kikiwamo cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Wananchi (CUF) na Chama cha Wakulima (AAFP), leo vinazindua rasmi kampeni zao za uchaguzi mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, huku chama kimoja kikiahirisha.
Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa barabarani naendesha gari. Mara nikafika sehemu yenye barabara nyembamba. Mbele yangu upande wa kulia kuna gari inakuja, na upande wa kushoto kuna mkokoteni unakwenda ninapoelekea. Ikabidi nisimame kusubiri mwenye mkokoteni asogee mbele ili niweze kupita vizuri kwa usalama.
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kumaliza changamoto zote za huduma za kijamii katika Jimbo la Chamwino kwa kile alichoeleza kuwa "Jimbo la Rais halitakiwi kuwa na changamoto zozote."
DAR ES SALAAM: A unique day of multi-sports, music, and dancing is underway to brighten Kijitonyama grounds in Dar es Salaam, involving children aged between 4 and 12, the organisers of the upcoming Kids Faith and Fun Program confirmed today. The event, which is reserved for the school children, is scheduled on September 6th in … The post Dar Children envision an epic multi-sports, music gala first appeared on Daily News .
Wazazi na walezi wamehimizwa kuzingatia umuhimu wa chanjo ya polio kwa watoto, ili kuwaepusha na madhara mbalimbali yakiwamo ulemavu wa kudumu.
Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia (2024-2034) unalenga kuhakikisha wananchi wanapata suluhisho la nishati ya kupikia isiyo na madhara kwa afya, gharama nafuu na isiyo na madhara kwa mazingira.
CHINA: INDIAN Prime Minister Narendra Modi has told China’s President Xi Jinping that he is committed to improving bilateral ties, indicating a growing closeness to Beijing only five days after the United States slapped steep tariffs on Indian goods. “We are committed to progressing our relations based on mutual respect, trust and sensitivities,” Modi told … The post India committed to improving ties with China, Modi tells Xi before SCO meet first appeared on Daily News .
USA: More than 500 employees at the agency that runs Voice of America and other US government-funded international broadcasterswill lose their jobs, a Trump administration official announced. Kari Lake, the acting CEO of the United States Agency for Global Media (USAGM), took to the X social media platform to announce further job cuts for VOA. “The … The post Hundreds at Voice of America and parent agency to lose jobs first appeared on Daily News .
UGANDA: THE second round of the 2025 Uganda Ladies Open Golf Championship at the Lugazi Hills Golf and Country Club saw stellar performances from Tanzania’s top golfer, Neema Olomi, who continues to lead the tournament after Friday’s round. Olomi tied for first place with Mercy Nyachama of Kenya, as both players finished the second round … The post Olomi tied for lead after 2nd round at Uganda Ladies Open Golf first appeared on Daily News .