Vodacom Tanzania na Don Bosco wazindua mpango wa kuwainua vijana na kuendeleza mpira wa kikapu nchini

Vodacom Tanzania na Don Bosco wazindua mpango wa kuwainua vijana na kuendeleza mpira wa kikapu nchini

Vodacom Tanzania PLC imesaini ushirikiano na Shirika la Salesian of Don Bosco Kanda ya Tanzania na kuzindua mfululizo wa mipango inayolenga kuwawezesha vijana na kuendeleza mchezo wa mpira wa kikapu jijini Dar es Salaam. Ushirikiano huu umehalalishwa kupitia kusainiwa kwa Makubaliano ya Ushirikiano (MoU), yakionyesha udhamini rasmi wa Vodacom kwa Don Bosco na Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar es Salaam (BDL). Tukio la uzinduzi limeangazia dhamira ya Vodacom katika kuwawezesha vijana, kujiendeleza kielimu na michezo, kwa lengo la kukuza vipaji vya ndani na kuimarisha maendeleo ya jamii. Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation, Zuweina Farah (kulia), na Mkurugenzi wa […] The post Vodacom Tanzania na Don Bosco wazindua mpango wa kuwainua vijana na kuendeleza mpira wa kikapu nchini appeared first on SwahiliTimes .

CUF presidential candidate promises public servants pulsating benefits

CUF presidential candidate promises public servants pulsating benefits

DAR ES SALAAM: PRESIDENTIAL candidate for the Civic United Front (CUF), Gombo Samandito Gombo, has pledged to offer government employees  an employment letter accompanied by a plot title deed and transport (a car) if Tanzanians grant him the mandate to become the president. Gombo made this promise during an exclusive interview with Daily News Digital, … The post CUF presidential candidate promises public servants pulsating benefits first appeared on Daily News .

JKCI conducts heart screening exercise to 2,000 students in Coast

JKCI conducts heart screening exercise to 2,000 students in Coast

KIBAHA: 2,328 students from Maili moja Primary School and Bundikani Secondary School in Kibaha District, Coast Region have undergone initial screening for heart disease. The screening was conducted during a two-day special camp organized by Dr Samia Suluhu Hassan and the Jakaya Kikwete Heart Institute (JKCI) as part of the Institute’s 10th anniversary celebrations since … The post JKCI conducts heart screening exercise to 2,000 students in Coast first appeared on Daily News .

Kondoa residents strike gold in President Samia tour

Kondoa residents strike gold in President Samia tour

KONDOA: CCM Presidential Candidate, Dr. Samia Suluhu Hassan, today unveiled a wide-ranging development plan for Kondoa District, promising stronger investment in healthcare, infrastructure, agriculture, and economic growth. Speaking before thousands of supporters at a campaign rally, Samia said the government under her leadership has already delivered meaningful change and is ready to accelerate progress if … The post Kondoa residents strike gold in President Samia tour first appeared on Daily News .

Watakiwa kujadiliana na wazazi kujiunga Mr Right

Watakiwa kujadiliana na wazazi kujiunga Mr Right

VIJANA wanaotamani kushiriki katika shindano la kutafuta wapenzi lijulikanalo kama Hello Mr. Right wametakiwa kuzungumza na wazazi wao mapema kabla ya kujiandikisha, ili kuhakikisha wanashiriki kwa uwazi na uhalali wa kijamii na kifamilia. Akizungumza kuhusu msimu mpya wa shindano hilo, Godfrey Lugalabamu maarufu kama Mc Gara B, amesema Hello Mr. Right msimu wa saba utakuwa … The post Watakiwa kujadiliana na wazazi kujiunga Mr Right first appeared on HabariLeo .

ACT-Wazalendo vows peaceful campaign, Opposes Early Ballot

ACT-Wazalendo vows peaceful campaign, Opposes Early Ballot

ZANZIBAR: THE ACT-Wazalendo presidential candidate Othman Masoud Othman has officially collected nomination forms from the Zanzibar Electoral Commission (ZEC), vowing to campaign vigorously while maintaining his party’s opposition to early voting. Speaking to journalists shortly after receiving the forms at ZEC headquarters, Maisara and later at the Party offices at Vuga, Othman said: “We will … The post ACT-Wazalendo vows peaceful campaign, Opposes Early Ballot first appeared on Daily News .

Uwanja wa kisasa wakamilika Zanzibar

Uwanja wa kisasa wakamilika Zanzibar

Moja ya ahadi muhimu katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu uboreshaji wa miundombinu ya michezo visiwani Zanzibar imetimia, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kiwanja cha kisasa cha michezo katika eneo la Kitopeni, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja. Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo ya CCM, Katibu wa Siasa na … The post Uwanja wa kisasa wakamilika Zanzibar first appeared on HabariLeo .

Aahidi kiwanja, gari kwa watumishi wa serikali akiwa rais

Aahidi kiwanja, gari kwa watumishi wa serikali akiwa rais

DAR ES SALAAM: MGOMBEA Uraisi kupitia Chama cha Wananchi CUF, Gombo Samandito Gombo ameahidi kuwa endapo Watanzania watampa ridhaa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha kuwa watumishi wa serikali wanatapatiwa barua ya ajira itakayoambatana na hati ya kiwanja pamoja na usafiri (gari). Gombo amesema hayo wakati akifanya mahojiano maalumu na Daily … The post Aahidi kiwanja, gari kwa watumishi wa serikali akiwa rais first appeared on HabariLeo .

Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe

Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe

BUKOMBE: SERIKALI imepanga kufanya tathimini mpya ya eneo la hekta 5,693.7 ambalo lilimegwa kutoka hifadhi ya Biharamulo-Kahama na kuwapa wananchi kwa ajili ya shughuli za binadamu ili kukidhi mahitaji yao. Hatua hiyo inakuja kufuatia kuibuka malalamiko mapya kutoka kwa wakazi wa kitongoji cha Idosero kijiji cha Nampalahala wilayani Bukombe wanaodai eneo walilopewa haliendani na mahitaji … The post Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe first appeared on HabariLeo .

Watanzania washauriwa kuiamini CCM

Watanzania washauriwa kuiamini CCM

TANGA: Watanzania wameshauri kuendelea kukiamini Chama cha Mapinduzi (CCM) kutokana na dhamira yake ya kuendeleza kulinda na kiutunza Amani ya nchi. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti CCM Mkoa wa Tanga, Rajab Abdulrahaman wakati wa uzinduzi wa kampeni ngazi ya Mkoa wa Tanga iliyofanyika wilayani Mkinga. Amesema kuwa Rais samia amekuwa akifanya juhudi kubwa ya kuhakikisha anailinda … The post Watanzania washauriwa kuiamini CCM first appeared on HabariLeo .