Watanzania kupatiwa huduma za afya kwa simu

Watanzania kupatiwa huduma za afya kwa simu

DAR ES SALAAM: Katika kuboresha huduma za afya kwa wananchi Kampuni ya Bima ya Afya ya Jubilee Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Afya ya Medikea wameanzisha programu maalumu inayowezesha Watanzania kupata huduma za afya kwa njia ya simu popote walipo. Programu hiyo iliyozinduliwa Dar es Salaam Oktoba 16, 2025, inalenga kuimarisha afya za Watanzania … The post Watanzania kupatiwa huduma za afya kwa simu first appeared on HabariLeo .

Vodacom na Bolt kwa Pamoja Kutoa Punguzo kwa Kila Safari Kupitia Tuzo Points

Vodacom na Bolt kwa Pamoja Kutoa Punguzo kwa Kila Safari Kupitia Tuzo Points

Vodacom Tanzania PLC kwa ushirikiano na Bolt, Kampuni inayotoa huduma za usafiri kwa njia ya mtandao, wamezindua huduma mpya inayowapa wateja thamani zaidi katika kila safari wanayofanya. Kupitia Tuzo Points, wateja wa Vodacom sasa wanaweza kutumia pointi walizopata kupata punguzo la bei kwenye safari za Bolt wakileta pamoja nguvu ya teknolojia, urahisi wa usafiri, na maisha ya kila siku yenye thamani zaidi. “Dhamira yetu Vodacom daima imekuwa kuwaunganisha Watanzania kwa ajili ya mustakabali bora,” alisema Joseph Njuu, Meneja Usimamizi wa thamani ya wateja kutoka Vodacom Tanzania. “Ushirikiano huu na Bolt ni uthibitisho wa dhamira hiyo tunaleta suluhisho rahisi, linalowawezesha wateja […] The post Vodacom na Bolt kwa Pamoja Kutoa Punguzo kwa Kila Safari Kupitia Tuzo Points appeared first on SwahiliTimes .