
Dk Mwinyi: Tutatunga sheria kali kuwabana wanaume wanaotelekeza watoto
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi ameahidi iwapo atapata ridhaa ya kuongoza dola, Serikali yake itatunga sheria kali kuwabana wanaume wanaotelekeza watoto bila.