Mgombea urais CUF atangaza vita wezi mali za umma

Mgombea urais CUF atangaza vita wezi mali za umma

DAR ES SALAAM: MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, amesema iwapo atachaguliwa serikali yake itakuwa na msimamo mkali dhidi ya wezi wa mali za umma. Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Daily News Digital na kueleza kuwa katika kukomesha wizi wa mali za umma atahakikisha hakutakuwa na mchakato mrefu wa uchunguzi … The post Mgombea urais CUF atangaza vita wezi mali za umma first appeared on HabariLeo .

Serikali yatoa msamaha wa kutoshitakiwa kwa watakaosalimisha silaha haramu

Serikali yatoa msamaha wa kutoshitakiwa kwa watakaosalimisha silaha haramu

Jeshi la Polisi limesema Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetoa msamaha wa kutoshitakiwa kwa wamiliki wa silaha kinyume cha sheria endapo watasalimisha silaha haramu kwa hiari kuanzia leo Septemba 01 hadi Oktoba 31, 2025. Taarifa hiyo imesema msamaha huo ni moja ya mikakati inayotekelezwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa ikiwemo Tanzania ikiwa ni utekelezaji wa mikataba, itifaki, maazimio na makubaliano mbalimbali ya kuzuia uzagaaji wa silaha ndogo na nyepesi. Wananchi wametakiwa kuwasilisha silaha hizo katika kituo chochote cha Polisi, ofisi ya Serikali za Mitaa au kwa Mtendaji Kata kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa […] The post Serikali yatoa msamaha wa kutoshitakiwa kwa watakaosalimisha silaha haramu appeared first on SwahiliTimes .

Mpango asema Tanzania iko tayari kwa Uchaguzi Mkuu

Mpango asema Tanzania iko tayari kwa Uchaguzi Mkuu

MADAGASCAR : MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema maandalizi muhimu kwa ajili ya kufanya Uchaguzi Mkuu wa haki, uhuru na uwazi yanaendelea vizuri nchini na kutoa mwaliko kwa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kutuma timu ya waangalizi kwenye uchaguzi huo uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025. The post Mpango asema Tanzania iko tayari kwa Uchaguzi Mkuu first appeared on HabariLeo .

Wafugaji wamuahidi raha Dk Samia

Wafugaji wamuahidi raha Dk Samia

DODOMA; CHAMA cha Wafugaji Tanzania kimeahidi kutiki kwa mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu na kubainisha sababu za kufanya hivyo ikiwemo kuimarisha utulivu kati ya wafugaji na wakulima. Mwenyekiti wa Chama cha Wafugaji, Murida Mshota alisema Rais Samia ametatua mgogoro wa ardhi … The post Wafugaji wamuahidi raha Dk Samia first appeared on HabariLeo .

UDP calls for clean politics as it shifts campaign to Lake Zone

UDP calls for clean politics as it shifts campaign to Lake Zone

DAR ES SALAAM: THE presidential candidate for the United Democratic Party (UDP), Saum Hussein Rashid, has called on Tanzanian citizens and all political aspirants to uphold national peace by engaging in clean politics ahead of the general elections scheduled for October 2025. Speaking today, September 1, 2025, Saum Hassan emphasized the importance of avoiding politics … The post UDP calls for clean politics as it shifts campaign to Lake Zone first appeared on Daily News .

Rain fails to dampen spirits at FuTopia Festival

Rain fails to dampen spirits at FuTopia Festival

ZANZIBAR: WHAT began as a wet and hesitant evening soon turned into an unforgettable celebration of sound and spirit. Day Two of the FuTopia Zanzibar Festival, held at the vibrant coastal setting of Fumba Town, defied the downpour and came alive with energy. From just after 6:00pm until the final beat dropped at 4:00am, the … The post Rain fails to dampen spirits at FuTopia Festival first appeared on Daily News .

Tanzania begins process to establish e-land system

Tanzania begins process to establish e-land system

ARUSHA: THE Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development, through the Department of Human Settlements Development, is conducting a three-day meeting for Urban Planners from various regions to build their capacity and better prepare them to perform their duties professionally. The meeting, taking place in Arusha from September 1 to 3, 2025, involves training … The post Tanzania begins process to establish e-land system first appeared on Daily News .

ASTC marks Diamond Jubilee with a call to value data efficiency

ASTC marks Diamond Jubilee with a call to value data efficiency

DAR ES SALAAM: THE East African Statistical College (EASTC) has insisted on appropriate data usage during the General Elections as the college marks its 60th anniversary this week. The college has urged Tanzanian journalists to focus on the statistics and data to present information in an easy-to-understand manner to the public, especially during this election period. … The post ASTC marks Diamond Jubilee with a call to value data efficiency first appeared on Daily News .