
CCM kujenga kiwanda cha alizeti Singida
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Mkoa wa Singida ujenzi wa kiwanda cha mafuta ya alizeti ili kuchochea shughuli za kilimo na ajira.
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Mkoa wa Singida ujenzi wa kiwanda cha mafuta ya alizeti ili kuchochea shughuli za kilimo na ajira.
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo atapewa ridhaa ya kuunda serikali kupitia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, ataweka mkazo maalum katika kuendeleza kilimo cha vanila wilayani Missenyi, mkoani Kagera. Dkt. Samia amesema serikali yake itahakikisha zao hilo […]
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya ziwa Victoria na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa na aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, ambaye kwasasa ni Mwanachama na Kada Mtiifu wa CCM, Ndugu. Ezekiel Wenje amesema ni hatari kwa Taifa kuwa na Kiongozi mkubwa wa Chama Cha Siasa anayesema kuwa yupo […]
Leo, Vodacom Tanzania PLC kwa ushirikiano na Bolt, Kampuni inayotoahuduma za usafiri kwa njia ya mtandao, wamezindua hudumampya inayowapa wateja thamani zaidi katika kila safari wanayofanya. Kupitia Tuzo Points, wateja wa Vodacom sasawanaweza kutumia pointi walizopata kupata punguzo la beikwenye safari za Bolt wakileta pamoja nguvu ya teknolojia, urahisi wa usafiri, na maisha ya kila …
Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi, imepanga Novemba 27, 2025 kutoa hukumu ya kesi ya ardhi iliyofunguliwa na Bernardo, mtoto wa Askofu John Sepeku.
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko amezindua mradi wa Mfuko wa Kukabiliana na Magonjwa ya Mlipuko, utakaogharimu zaidi ya Sh billioni 90, huku akizitaka sekta zote zitakazoshiriki katika utekelezaji wake kuhakikisha fedha hizo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa. Ni mradi wa miaka mitatu unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika … The post Biteko azindua mfuko kukabili magonjwa ya mlipuko first appeared on HabariLeo .
WASWAHILI husema, “Mchumia juani, hulia kivulini,” wakimaanisha kuwa mafanikio huletwa na juhudi. Methali hii inaakisi umuhimu wa upandaji miti katika jamii ili kujipatia manufaa ya kivuli, mvua, pamoja na mazingira salama. The post Upandaji miti ni uhai wa mazingira first appeared on HabariLeo .
Imeelezwa kuwa, wanawake wanapojitambua, kujiamini, na kuwa tayari kuwaongoza wengine, hufungua milango ya mabadiliko chanya.
DAR ES SALAAM: THE Women in Law and Development in Africa (WiLDAF Tanzania), in collaboration with GIZ, has organized a three-day special training camp for journalists as part of preparations for the 2025 16 Days of Activism against Gender-Based Violence campaign. The training aims to support national efforts through the upcoming National Dialogue on Digital … The post WiLDAF trains Tanzanian media on how to combat online gender-based violence first appeared on Daily News .
BUKOBA: EZEKIEL Wenje, who recently joined the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM), has warned against inciting politics, saying it is dangerous for a nation and such a politician lacks the qualities to lead. Speaking at a CCM presidential candidate’s campaign rally held today, October 15, 2025, in the Kagera region, Wenje said statements like these … The post Wenje warns against inciting politics, calling them too dangerous first appeared on Daily News .
JESHI la Polisi mkoani wa Mwanza limewakamata watuhumiwa 76 kwa makosa mbalimbali. Akizungumza jana katika mahojiano malumu ofisini kwake, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Wilbroad Mutafungwa, amesema katika msako kudhibiti matukio ya kihalifu inayoendelea katika kipindi cha Oktoba 11 mwaka huu, mpaka sasa wamefanikiwa kukamata watuhumiwa hao. Ametaja baadhi ya makosa yakiwemo ni … The post Watuhumiwa 76 wanaswa Mwanza first appeared on HabariLeo .
Kifo cha Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Shinyanga, Asha Mwetindwa, kimesababisha kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu kuahirishwa kabla ya muda wa mahakama kumalizika.
MAHAKAMA Kuu Masjala Kuu Dodoma imeitupa kesi ya Luhaga Mpina na ACT-Wazalendo, ikieleza kwa...
JESHI la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watuhumiwa 17 waliohusika katika makosa...
Kupitia kwenye #HotontheFeed @el_mando_tz amejaribu kutufahamisha kuhusu Mtangazaji wa Kenya @azeezah_h aliyetangaza kuolewa hata Bure hata mke wa pili. Anasema @azeezah_h yupo Serious au ametafuta kitu cha kuongelewa tu Mitandaoni?? @el_mando_tz anasema Azeezah sio msanii lakini ana jina kubwa Tanzania kuliko hata wasanii wengi sana kutoka Kenya ambao wanafanya muziki. Amekuja kufanya matukio mengi Tanzania na watu wengi wanampenda na kumfahamu yeye kuliko …
ZANZIBAR: THE Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar presidential candidate, Dr. Hussein Mwinyi, has pledged to establish a specialized health center dedicated to serving people with disabilities. This initiative is part of his broader vision to ensure this group receives quality healthcare and equal rights within society. Speaking on Unguja Island during a meeting with people … The post Dr Mwinyi pledges to establish a Special Health Centre for people with disabilities first appeared on Daily News .