
Ivory Coast's former first lady campaigns ahead of presidential polls
Simone Gbagbo is one of two female candidates contesting the 25 October vote which incumbent President Alassane Ouattara is widely expected to win.
Simone Gbagbo is one of two female candidates contesting the 25 October vote which incumbent President Alassane Ouattara is widely expected to win.
Ibada ya kitaifa ya kumuaga Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, marehemu Raila Amolo Odinga, imefanyika leo jijini Nairobi, ikiunganisha maelfu ya waombolezaji, viongozi wa kitaifa na wageni wa kimataifa waliokuja kutoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo mkongwe wa siasa. Ibada hiyo imehudhuriwa na Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa zamani Uhuru […]
Israeli warplanes carried out a series of airstrikes in southern Lebanon on Thursday, targeting a cement plant and an environmental group's site that it accuses of being fronts for Hezbollah, injuring at least six people and triggering massive explosions that caused widespread panic.
Israeli warplanes carried out a series of airstrikes in southern Lebanon on Thursday, targeting a cement plant and an environmental group's site that it accuses of being fronts for Hezbollah, injuring at least six people and triggering massive explosions that caused widespread panic.
Wataalamu bingwa wa magonjwa ya saratani nchini, wamesema wasichana wanaobalehe mapema (kabla ya miaka 12) wapo hatarini kupata saratani ya matiti, huku wakishauri hatua za kuchukua.
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikilaani wimbi la ukamataji, utekaji na vitisho vinavyoendelea dhidi ya viongozi na wanachama wake katika Kanda ya Victoria, hususani mkoani Kagera, Jeshi la Polisi limesema baadhi yao walikamatwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria kwa tuhuma za kihalifu.
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zinazotarajiwa kunyesha Novemba mwaka huu hadi Aprili 2026, zitakuwa za wastani au chini ya wastani, hivyo kutashuhudiwa vipindi vya ukame vya muda mrefu.
SERIKALI imepongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kuandaa mkutano muhimu kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), hatua inayolenga kuimarisha ubora wa elimu ya ufundi na kuongeza ujuzi wa nguvu kazi nchini. The post Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi first appeared on HabariLeo .
IRINGA: Wajasiriamali wadogo, hasa akina mama, wana fursa kubwa ya kujikwamua kiuchumi kupitia utengenezaji wa bagia—kitafunwa rahisi kinachopendwa na watu wa rika zote nchini. Kwa ubunifu na mipango mizuri ya masoko, bidhaa hii ya kawaida inaweza kugeuka kuwa biashara yenye faida kubwa, ikiwa chanzo cha ajira na mapato kwa familia nyingi. Akizungumza katika mkutano wa … The post Bagia kutoka Iringa zinaweza kuwatoa akina mama kimasomaso- Ngajilo first appeared on HabariLeo .
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kudumisha amani ni jukumu la kila mwananchi anayependa maendeleo ya nchi. The post Rais Mwinyi: Tuilinde Amani Yetu first appeared on HabariLeo .
Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Mzalendo Kijiji cha Mawemeru, Kata ya Nyarugusu wilayani Geita kwa tuhuma za mauaji ya mume wake aitwaye Shabani Paschal (55) mkulima na mchimbaji madini. Tukio hilo limebainika Oktoba 16, 2025 katika Kitongoji cha Mzalendo baada ya taarifa hizo kufikishwa kituo cha polisi ikielezwa kuwa Shaban hajaonekana nyumbani kwake tangu Oktoba 11, 2025 majira ya saa 3:00 usiku. Jeshi la Polisi limesema baada ya kupokea taarifa hiyo lilifanya uchunguzi na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Martha kwa ajili ya mahojiano, ambapo mtuhumiwa alikiri kuhusika na tukio hilo na […] The post Akiri kumuua mume wake na kumzika ndani ya chumba chao appeared first on SwahiliTimes .
Nikiwa mwandishi na mpiga picha wa kawaida sana nisiye na makuu Novemba 27 mwaka 2011 nilikuwa mpiga picha wa matukio uzinduzi wa iliyokuwa Mall ya kisasa kabisa ya kwa kipindi hicho napengine hata sasa kama ingeendelea kuwepo lakini kwa bahati mbaya haipo tena ambayo ni Quality Centre, iliyokuwa pale Barabara ya Nyerere Jijini Dar. Katika […]
Hansi Flick's side were at the top of the table before suffering a humbling 4-1 defeat to Sevilla ahead of the international break.
Hansi Flick's side were at the top of the table before suffering a humbling 4-1 defeat to Sevilla ahead of the international break.