Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi

Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi

SERIKALI imepongeza Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa kuandaa mkutano muhimu kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), hatua inayolenga kuimarisha ubora wa elimu ya ufundi na kuongeza ujuzi wa nguvu kazi nchini. The post Serikali yajipanga kuzalisha nguvu kazi first appeared on HabariLeo .

Bagia kutoka Iringa zinaweza kuwatoa akina mama kimasomaso- Ngajilo

Bagia kutoka Iringa zinaweza kuwatoa akina mama kimasomaso- Ngajilo

IRINGA: Wajasiriamali wadogo, hasa akina mama, wana fursa kubwa ya kujikwamua kiuchumi kupitia utengenezaji wa bagia—kitafunwa rahisi kinachopendwa na watu wa rika zote nchini. Kwa ubunifu na mipango mizuri ya masoko, bidhaa hii ya kawaida inaweza kugeuka kuwa biashara yenye faida kubwa, ikiwa chanzo cha ajira na mapato kwa familia nyingi. Akizungumza katika mkutano wa … The post Bagia kutoka Iringa zinaweza kuwatoa akina mama kimasomaso- Ngajilo first appeared on HabariLeo .

Akiri kumuua mume wake na kumzika ndani ya chumba chao

Akiri kumuua mume wake na kumzika ndani ya chumba chao

Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Mzalendo Kijiji cha Mawemeru, Kata ya Nyarugusu wilayani Geita kwa tuhuma za mauaji ya mume wake aitwaye Shabani Paschal (55) mkulima na mchimbaji madini. Tukio hilo limebainika Oktoba 16, 2025 katika Kitongoji cha Mzalendo baada ya taarifa hizo kufikishwa kituo cha polisi ikielezwa kuwa Shaban hajaonekana nyumbani kwake tangu Oktoba 11, 2025 majira ya saa 3:00 usiku. Jeshi la Polisi limesema baada ya kupokea taarifa hiyo lilifanya uchunguzi na kufanikiwa kumkamata mtuhumiwa Martha kwa ajili ya mahojiano, ambapo mtuhumiwa alikiri kuhusika na tukio hilo na […] The post Akiri kumuua mume wake na kumzika ndani ya chumba chao appeared first on SwahiliTimes .