
Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang
Leo kupitia #HotontheFeed na @el_mando_tz ametupitisha kwenye Ujumbe wa General Meneja wa @harmonize_tz @choppa_tz ambapo ameweka wazi uwepo wake Konde Gang. Baada ya Shabiki kumuiza endapo amejiengua @kondegang au laaah @choppa_tz alimjibu shabiki huyo kwa kusema maneno haya:- Shabiki alianza kwa kumuuliza:- “Kaka unatuchagaya toa tamko tujue kama uko konde gang ama umetoka” Chopa akamjibu “Mimi ndio Kondegang Manaake nikitoka ni sawa na nimetoa uhai wangu …