Waandishi wapewa nguvu kukemea ukatili mtandaoni

Waandishi wapewa nguvu kukemea ukatili mtandaoni

SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF Tanzania) kwa kushirikiana na GIZ limeendesha kambi maalum ya mafunzo kwa waandishi wa habari kwa muda wa siku tatu, ikiwa ni maandalizi kuelekea Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia mwaka 2025. The post Waandishi wapewa nguvu kukemea ukatili mtandaoni first appeared on HabariLeo .

Marioo & Paula Wapite Njia za Diamond & Zuchu, Juma Jux & Priscila

Marioo & Paula Wapite Njia za Diamond & Zuchu, Juma Jux & Priscila

Leo kwenye #hotonthefeed @el_mando_tz ametupa kitu kupitia yale aliyoandika @marioo_tz kuhusu @therealpaulahkajala kuhusu ngoma yake ya Njozi. @el_mando_tz anasema Marioo na Paula wameonyesha nguvu kubwa sana Mitandaoni baada ya zile inshu za Paula kuzuia Video isitoke kisa Wivu wa Kimapenzi. Anasema kuwa @marioo_tz kupitia Mahusiano yake na @therealpaulahkajala wanaweza kuwa wakubwa sana endapo wataweza kuyatumia mahusiano yao kwa faida ya biashara zao. Anasema Marioo na Paula wanaweza …

Tanzania seeks to build value-added mining industries to create more jobs

Tanzania seeks to build value-added mining industries to create more jobs

TANGA: THE Permanent Secretary of the Ministry of Minerals, Engineer Yahya Samamba, has called on the executives of the Mining Commission to encourage the construction of value-added mining industries to increase employment, promote economic opportunities, and strengthen the contribution of the Mining Sector to the National GDP. Speaking today in Tanga at a meeting of … The post Tanzania seeks to build value-added mining industries to create more jobs first appeared on Daily News .

Dk Samia na rekodi mbili kubwa Tanzania

Dk Samia na rekodi mbili kubwa Tanzania

UNAPOMTAJA Dk Samia Suluhu Hassan, unazungumzia Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania. Yapo mambo mengi unaweza kuyaweka kwenye historia yake, lakini yapo makubwa mawili kwangu. Mosi ndiye Rais wa kwanza mwanamke Tanzania, lakini pia ndiye Makamu wa Kwanza wa Rais mwanamke Tanzania. The post Dk Samia na rekodi mbili kubwa Tanzania first appeared on HabariLeo .

Watuhumiwa 17 Mbaroni Kwa Wizi Wa Pikipiki Zanzibar

Watuhumiwa 17 Mbaroni Kwa Wizi Wa Pikipiki Zanzibar

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watuhumiwa 17 waliohusika katika makosa ya wizi wa pikipiki ambazo ziliibiwa na kuuzwa maeneo mbalimbali ndani ya Zanzibar. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Kamishma Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Mchomvu amesema kuwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini […]

Swahili Fashion Week ushers in the digital transformation era

Swahili Fashion Week ushers in the digital transformation era

DAR ES SALAAM: The Swahili Fashion Week and Awards has officially announced that its 18th edition will take place from December 5 to 7, 2025, at The Parthenon Hall, Greek Hellenic Club, along Ali Hassan Mwinyi Road in Dar es Salaam. Recognized as one of Africa’s most prestigious fashion platforms, this year’s event is expected … The post Swahili Fashion Week ushers in the digital transformation era first appeared on Daily News .

Tanzania, Korea deepen cooperation to boost investment

Tanzania, Korea deepen cooperation to boost investment

DAR ES SALAAM: TANZANIA and South Korea are stepping up efforts to strengthen economic cooperation, with a focus on unlocking new investment opportunities through the Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA). A delegation from South Korea’s Office for Civil Solutions (OCS) visited Tanzania this week to explore areas for potential investment and assess … The post Tanzania, Korea deepen cooperation to boost investment first appeared on Daily News .