Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje

Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka. Taarifa ya Tathmini ya Uchumi ya BoT kwa Septemba mwaka huu inaeleza ongezeko hili lilichangiwa zaidi na mauzo ya bidhaa nje ya nchi. BoT imeeleza mauzo hayo yaliongezeka kwa asilimia 15 hadi Dola za Marekani milioni 16,935.6 mwaka unaoishia Agosti mwaka huu, … The post Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje first appeared on HabariLeo .

Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara

Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara

MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu ameagiza vitengo vya sheria katika mashirika ya umma kuiepusha serikali hasara katika mikataba ya kibiashara. Mchechu ametoa agizo hilo katika kikaokazi cha wadau kati ya Ofisi ya Msajili wa Hazina, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria kinachofanywa … The post Mashirika yaagizwa umakini kuepuka hasara first appeared on HabariLeo .

Mwinyi : Mabasi ya Umeme Kuleta Mapinduzi

Mwinyi : Mabasi ya Umeme Kuleta Mapinduzi

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais anayeongoza, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuanzishwa kwa mabasi ya umeme kwa ajili ya kuboresha huduma za usafiri wa umma na kupunguza uchafuzi wa mazingira katika jiji la Zanzibar. The post Mwinyi : Mabasi ya Umeme Kuleta Mapinduzi first appeared on HabariLeo .

Govt commits to investor-friendly laws to drive Vision 2050

Govt commits to investor-friendly laws to drive Vision 2050

COAST REGION: THE government has reiterated its commitment to continue enacting investment-friendly laws aimed at driving the country towards upper-middle-income status, as outlined in the Vision 2050. One of the key targets under Vision 2050 is to grow the national GDP from the current level of around 80 billion US dollars to 1 trillion US … The post Govt commits to investor-friendly laws to drive Vision 2050 first appeared on Daily News .

Samia: We’re delivering

Samia: We’re delivering

Vows more jobs, growth and health for all BUKOBA: CCM presidential candidate Dr Samia Suluhu Hassan has pledged to accelerate Kagera Region’s transformation by expanding access to health, education, electricity and water services, alongside upgrading key transport and trade infrastructure. Addressing thousands of residents at Kaitaba Stadium in Bukoba Municipality yesterday, Dr Samia said the … The post Samia: We’re delivering first appeared on Daily News .

Mahakama yakataa ombi la kusitisha mazishi ya Raila Odinga – familia yapata ruhusa kuendelea

Mahakama yakataa ombi la kusitisha mazishi ya Raila Odinga – familia yapata ruhusa kuendelea

Mahakama Kuu nchini Kenya imekataa ombi lililowasilishwa na kundi la watu waliotaka kusitishwa kwa muda kwa mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, wakidai kuwepo kwa sababu maalum zinazohitaji uchunguzi zaidi kabla ya shughuli hiyo kufanyika. Jaji aliyesikiliza kesi hiyo amesema kuwa mahakama haiwezi kutoa amri ya muda (Conservatory Order) kwa msingi wa […]