
Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka. Taarifa ya Tathmini ya Uchumi ya BoT kwa Septemba mwaka huu inaeleza ongezeko hili lilichangiwa zaidi na mauzo ya bidhaa nje ya nchi. BoT imeeleza mauzo hayo yaliongezeka kwa asilimia 15 hadi Dola za Marekani milioni 16,935.6 mwaka unaoishia Agosti mwaka huu, … The post Dhahabu, nafaka, utalii vyapaisha mauzo nje first appeared on HabariLeo .