Wenje: Siwezi kuzama huku ninaona

Wenje: Siwezi kuzama huku ninaona

KAGERA: KADA mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ezikia Wenje amesema hajutii uamuzi wake wa kujiunga na chama hicho kwani amejionea kwa vitendo mambo makubwa yaliyofanywa na chama hicho kwa siku nne alizokaa CCM.   Akizungumza leo Oktoba 16, Mjini Bukoba mkoani Kagera wakati wa mkutano wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi … The post Wenje: Siwezi kuzama huku ninaona first appeared on HabariLeo .

TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia

TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia

TAASISI ya Udhibiti wa Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi, wakulima na wadau wa sekta ya kilimo kuhusu utambuzi wa mbegu bora, taratibu za usajili wa wazalishaji wa mbegu, pamoja na namna ya kuepuka mbegu bandia sokoni. The post TOSCI yatoa elimu kutambua mbegu bandia first appeared on HabariLeo .

Stakeholders hail government for improved efficiency at Dar port

Stakeholders hail government for improved efficiency at Dar port

DAR ES SALAAM: Players in the port and shipping industry have showered praises on improved efficiency at the Dar es Salaam port which they attribute to the entry of private operators DP World and Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL). Speaking in exclusive interviews, the port stakeholders said the new operators have not only … The post Stakeholders hail government for improved efficiency at Dar port first appeared on Daily News .

Lucky Loser: Promosheni Inayogeuza Hasara Kuwa Ushindi!

Lucky Loser: Promosheni Inayogeuza Hasara Kuwa Ushindi!

Katika ulimwengu wa kubashiri, kushindwa siyo mwisho tena! Kampuni ya Meridianbet imezindua promosheni mpya yenye kuleta msisimko kwa wachezaji wa Win&Go, iitwayo Lucky Loser. Kupitia promosheni hii, tiketi yoyote yenye namba 6 iliyowekwa kwa pesa taslimu ambayo inashindwa kubashiri namba zote, sasa inageuka kuwa tiketi mshindi kwa kuzidishwa dau mara 30 (x30)! Jinsi Promosheni ya […]

Dalili gesi asilia zaonekana kitalu cha Lindi – Mtwara

Dalili gesi asilia zaonekana kitalu cha Lindi – Mtwara

MTWARA: UTAFITI unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa gesi asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, ambapo visima vya maji vilibainika kuvujisha gesi asilia. Utafiti huo unajumuisha jumla ya vijiji 48 katika eneo la takriban kilomita za mraba 736 ambapo vijiji 40 vinatoka katika Halmashauri ya Wilaya … The post Dalili gesi asilia zaonekana kitalu cha Lindi – Mtwara first appeared on HabariLeo .

Viongozi wa dini watoa wito kudumisha amani

Viongozi wa dini watoa wito kudumisha amani

DAR ES SALAAM: VIONGOZI wa dini kutoka madhehebu mbalimbali nchini wamekutana kujadili umuhimu wa kudumisha amani, haki na maridhiano hasa wakati huu ambapo Watanzania wanajiandaa kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,mwaka huu. Viongozi hao wamezungumza hayo Dar es salaam mapema wiki hii katika Kongamano la majadiliano ya kidini lililoandaliwa na kanisa la Evangelical … The post Viongozi wa dini watoa wito kudumisha amani first appeared on HabariLeo .