SUA yapata miradi 36 yenye thamani Bil.10.5

SUA yapata miradi 36 yenye thamani Bil.10.5

CHUO  Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA ) kimeeleza kuwa hadi kufikia Oktoba mwaka huu  miradi mipya ya utafiti 36 yenye thamani ya sh bilioni 10.5 imepatikana. Kati ya miradi hiyo 10 inafadhiliwa na wafadhili wa nje, miradi miwili ya Serikali kupitia Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) na miradi 24 inafadhiliwa na Chuo Kikuu hicho kupitia mapato yake ya ndani. The post SUA yapata miradi 36 yenye thamani Bil.10.5 first appeared on HabariLeo .

Raila Odinga kuzikwa keshokutwa

Raila Odinga kuzikwa keshokutwa

KAMATI ya Mazishi ya Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga imesema kiongozi huyo atazikwa Jumapili, Oktoba 19 kulingana na matakwa ya familia yake. Raila alifariki dunia juzi nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu. Akizungumza na wanahabari mjini Nairobi, Naibu Rais, Profesa Kithure Kindiki alisema kiongozi huyo mkongwe katika siasa za Kenya, aliweka wazi kwa familia … The post Raila Odinga kuzikwa keshokutwa first appeared on HabariLeo .

Former Trump adviser John Bolton criminally indicted

Former Trump adviser John Bolton criminally indicted

USA: JOHN Bolton, who served as Donald Trump’s national security adviser before becoming a vocal critic of the president, has been criminally indicted on federal charges. The Department of Justice presented a case to a grand jury in Maryland on Thursday, and they agreed there was enough evidence to indict Bolton, who issued a … The post Former Trump adviser John Bolton criminally indicted first appeared on Daily News .

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Leo kupitia #HotontheFeed na @el_mando_tz ametupitisha kwenye Ujumbe wa General Meneja wa @harmonize_tz @choppa_tz ambapo ameweka wazi uwepo wake Konde Gang. Baada ya Shabiki kumuiza endapo amejiengua @kondegang au laaah @choppa_tz alimjibu shabiki huyo kwa kusema maneno haya:- Shabiki alianza kwa kumuuliza:- “Kaka unatuchagaya toa tamko tujue kama uko konde gang ama umetoka” Chopa akamjibu “Mimi ndio Kondegang Manaake nikitoka ni sawa na nimetoa uhai wangu …

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Leo kupitia #HotontheFeed na @el_mando_tz ametupitisha kwenye Ujumbe wa General Meneja wa @harmonize_tz @choppa_tz ambapo ameweka wazi uwepo wake Konde Gang. Baada ya Shabiki kumuiza endapo amejiengua @kondegang au laaah @choppa_tz alimjibu shabiki huyo kwa kusema maneno haya:- Shabiki alianza kwa kumuuliza:- “Kaka unatuchagaya toa tamko tujue kama uko konde gang ama umetoka” Chopa akamjibu “Mimi ndio Kondegang Manaake nikitoka ni sawa na nimetoa uhai wangu …

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Leo kupitia #HotontheFeed na @el_mando_tz ametupitisha kwenye Ujumbe wa General Meneja wa @harmonize_tz @choppa_tz ambapo ameweka wazi uwepo wake Konde Gang. Baada ya Shabiki kumuiza endapo amejiengua @kondegang au laaah @choppa_tz alimjibu shabiki huyo kwa kusema maneno haya:- Shabiki alianza kwa kumuuliza:- “Kaka unatuchagaya toa tamko tujue kama uko konde gang ama umetoka” Chopa akamjibu “Mimi ndio Kondegang Manaake nikitoka ni sawa na nimetoa uhai wangu …

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Meneja wa Harmonize ni Member wa Grammy, Chopa Bado Yupo Konde Gang

Leo kupitia #HotontheFeed na @el_mando_tz ametupitisha kwenye Ujumbe wa General Meneja wa @harmonize_tz @choppa_tz ambapo ameweka wazi uwepo wake Konde Gang. Baada ya Shabiki kumuiza endapo amejiengua @kondegang au laaah @choppa_tz alimjibu shabiki huyo kwa kusema maneno haya:- Shabiki alianza kwa kumuuliza:- “Kaka unatuchagaya toa tamko tujue kama uko konde gang ama umetoka” Chopa akamjibu “Mimi ndio Kondegang Manaake nikitoka ni sawa na nimetoa uhai wangu …