
Dk Nchimbi aahidi maboresho huduma za afya Dodoma
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kujenga Hospitali kubwa ya mama na mtoto mkoani Dodoma ikiwa kitashinda uchaguzi mkuu ujao.
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kujenga Hospitali kubwa ya mama na mtoto mkoani Dodoma ikiwa kitashinda uchaguzi mkuu ujao.
Waandishi wa habari mkoani Iringa wameiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhakikisha ulinzi na usalama wao, hasa wanaporipoti taarifa nyeti zinazohusu vitendo vya rushwa vinavyohusisha watu wa ngazi mbalimbali katika jamii.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Adolf Mkenda amesema endapo atachaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo hilo atahakikisha anaboresha Zahanati ya Kidale iliyopo Kata ya Katangara Mrere, ili ipandishwe hadhi na kuwa kituo cha afya cha mfano katika jimbo hilo.
Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Martha Japhet (44), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Mzalendo, Kijiji cha Mawemeru, Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita, kwa tuhuma za mauaji ya mumewe, Shabani Paschal (55), ambaye pia alikuwa mkulima na mchimbaji wa madini.
Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Haji Hamisi amewataka Watanzania wakiwemo wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwapigia kura wagombea wa chama chake katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ili kuleta mabadiliko ya kiuongozi na maendeleo ya kiuchumi nchini.
Hakuna ubishi kwamba aliyekuwa waziri mkuu na kiongozi wa upinzani Kenya, Raila Odinga (80) amelala na heshima yake.
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema akitangazwa kuwa rais wa kisiwa hicho, atafukua makaburi ili kushughulikia kile alichodai ni ubadhirifu wa uendeshaji katika taasisi nne.
Ni kama vile Mahakama Kuu iliyosikiliza shauri la kikatiba lililofunguliwa na Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini ya ACT-Wazalendo, imewaonyesha wadai hao mlango wanaoweza kupita kuendelea kudai haki yao.
Zaidi ya Sh228 milioni zimetumika kuboresha miundombinu ya jengo na vifaa muhimu katika wodi ya watoto wachanga ya Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya, ikiwa ni hatua muhimu ya kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa njiti au wenye changamoto za kiafya.
Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza Tanzania (TANCDA) limeitaka jamii kubadili mifumo ya maisha kwa kufanya mazoezi zaidi, kula kwa uangalifu na kujali afya ya akili, kama sehemu ya juhudi za kitaifa za kuwa na jamii yenye afya bora.
The new Associated Press-NORC poll, however, shows that his apparent success on the world stage has not yet improved his overall standing at home.
The new Associated Press-NORC poll, however, shows that his apparent success on the world stage has not yet improved his overall standing at home.
The meeting comes as France’s latest political crisis eased — for now — when Prime Minister Sébastien Lecornu survived two consecutive no-confidence votes on Thursday, averting another government collapse
The meeting comes as France’s latest political crisis eased — for now — when Prime Minister Sébastien Lecornu survived two consecutive no-confidence votes on Thursday, averting another government collapse
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ametoa heshima za mwisho kwa mwili wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya, marehemu Raila Amolo Odinga, katika Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo, tarehe 17 Oktoba 2025, katika Uwanja wa Nyayo, jijini Nairobi, Kenya. Dkt. Mpango alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano […]
Simone Gbagbo is one of two female candidates contesting the 25 October vote which incumbent President Alassane Ouattara is widely expected to win.