Mtoko upi mtamu Simba?

Mtoko upi mtamu Simba?

DAR ES SALAAM; Simba ya Dar es Salaam leo Agosti 31, 2025 imezindua rasmi jezi zao za msimu wa mwaka 2025/26, mgeni rasmi akiwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa. Vijana wa mjini wanasema huo ndiyo mtoko wa Simba. Je wewe umeona mtoko upi mtamu zaidi? The post Mtoko upi mtamu Simba? first appeared on HabariLeo .

Mgombea urais NLD alia na usawa, heshima

Mgombea urais NLD alia na usawa, heshima

Wakati Chama cha National League for Democracy (NLD) kikiwa kimetangaza kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 mkoani Tanga, mgombea urais wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, ametoa tahadhari akidai kwamba kwa siku tatu tangu kuanza kwa kampeni, kuna viashiria vya kutokuwepo kwa usawa na heshima kwa wagombea urais.

CUF presidential candidate sends warning shot to embezzlers of public resources

CUF presidential candidate sends warning shot to embezzlers of public resources

DAR ES SALAAM: THE presidential candidate from the Civic United Front (CUF), Gombo Samandito Gombo, has pledged that if elected, his government will adopt a tough stance against those who steal public property. Speaking to the Daily News Digital, Gombo stated that to curb the theft of public resources, his administration would not rely on … The post CUF presidential candidate sends warning shot to embezzlers of public resources first appeared on Daily News .