
Maisha wenye ulemavu kuboreshwa Z’bar
RAIS wa Zanzibar na Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewaomba watu wenye ulemavu nchini kumpa kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, huku akiwaahidi kuboresha zaidi maisha yao katika awamu yake ya pili ya uongozi. The post Maisha wenye ulemavu kuboreshwa Z’bar first appeared on HabariLeo .