How To Check If A Samsung Phone Is Original

How To Check If A Samsung Phone Is Original

With the rise of counterfeit smartphones, it’s becoming harder to tell whether a Samsung phone is genuine or fake. Fake Samsung devices are often designed to look almost identical to the original, but they usually lack the quality, performance, and security of authentic models. Knowing how to check if your Samsung phone is original will [...] The post How To Check If A Samsung Phone Is Original appeared first on Kahawatungu .

Full Burial Programme for Raila Odinga

Full Burial Programme for Raila Odinga

The remains of former Prime Minister and ODM leader Raila Amolo Odinga are expected to arrive in Kenya on Thursday morning at 9:30 am aboard a Kenya Airways flight from Mumbai, India. President William Ruto is expected to lead senior government officials in receiving the body at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) before it is [...] The post Full Burial Programme for Raila Odinga appeared first on Kahawatungu .

Oburu ateuliwa kiongozi mpya wa ODM

Oburu ateuliwa kiongozi mpya wa ODM

Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimechagua Seneta wa Siaya, Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama baada ya  kifo cha kaka yake Raila Odinga . “Kamati Kuu ya Kitaifa (NEC) ilikutana asubuhi hii na kwa pamoja ilikubaliana kumteua Seneta wa Kaunti ya Siaya, Dkt Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama.Uteuzi huu unaanza mara moja,” taarifa ya ODM ilisema. Habari zaidi zitafuata...

Kenya Airways Renames Flight Carrying Raila Odinga’s Body to RAO001 in Honour of Former PM

Kenya Airways Renames Flight Carrying Raila Odinga’s Body to RAO001 in Honour of Former PM

Kenya Airways has announced that the flight transporting the body of former Prime Minister Raila Odinga from India will be renamed from KQ203 to RAO001 once it enters Kenyan airspace at around 8:50 am. In a statement, the national carrier said the special flight code is meant “to honour and respect our departed leader,” adding [...] The post Kenya Airways Renames Flight Carrying Raila Odinga’s Body to RAO001 in Honour of Former PM appeared first on Kahawatungu .

Raila anakumbukwa kwa kupigania mageuzi mengi nchini

Raila anakumbukwa kwa kupigania mageuzi mengi nchini

HAYATI Raila Odinga atakumbukwa kama nguzo ya mageuzi makubwa nchini Kenya. Mwanasiasa huyo mashuhuri nchini na ulimwenguni aliyefariki jana nchini India alikoenda kutibiwa, atakumbukwa kama shujaa wa mageuzi wa kikatiba, demokrasia ya vyama vingi na mtetezi wa haki kwa wote. Odinga, aliyeaga dunia akiwa na umri wa miaka 80, alionyesha kujitolea kwake kupigania utawala wa kidemokrasia na mageuzi, kiasi cha kujitolea kupoteza kisiasa na hata kuweka maisha yake hatarini. Anakumbukwa kwa kuwa mwanasiasa wa kipekee aliyefungwa jela kwa miaka minane, bila kufunguliwa mashtaka wakati wa utawala wa Rais wa zamani, Daniel Toroitich Arap Moi. Mnamo 1991, Raila alitambuliwa na Shirika la kutetea haki, Amnesty International kwa mchango wake katika utetezi wa utawala wa vyama vingi vya kisiasa na mageuzi ya kikatiba. Katika taarifa jana, shirika hilo lilisema uanaharakati wa Bw Odinga na ukakamavu wake ulichangia kuchipuka kwa makundi ya kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya na bara la Afrika kwa ujumla. “Katika maisha yake ya kisiasa yaliyodumu kwa miongo minne, Odinga aliendelea kutetea watu waliobaguliwa na kunyanyaswa. Alichangia pakubwa juhudi za kurejeshwa kwa utawala wa vyama vingi mapema miaka ya 1990. Aidha, alichangia kupatikana kwa Katiba ya sasa, inayosheheni mapendekezo ya kulinda haki za kibinadamu na kupanuliwa mawanda ya uhuru,” shirika hilo lilisema kwenye taarifa. “Amnesty International inampa heshima Raila Odinga si tu kama kiongozi wa kisiasa bali kama mtetezi wa haki za kibinadamu aliyejitolea kutetea haki za kijamii nchini Kenya. Kumbukumbu yake itadumu na imenufaisha mamilioni ya Wakenya,” shirika hilo linaongeza kwenye risala zake za kuomboleza Bw Odinga. Katiba ya sasa iliyozinduliwa mnamo Agosti 27, 2010, imesifiwa kama bora zaidi duniani kwa sababu inasheheni vipengele vya kulinda haki za kibinadmu. Katiba hiyo pia ilianzisha utawala wa ugatuzi kwa kubuni serikali 47 za kuanti kuendeleza utekelezaji wa mfumo huo. Bw Odinga alihudumu kama Waziri Mkuu kati ya miaka ya 2008 na 2013 ambapo aliongoza shughuli za kuleta uponyaji nchini kufuatia ghasia za baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2007.

LSK Mourns Raila Odinga, Hails His Legacy in Democracy and Rule of Law

LSK Mourns Raila Odinga, Hails His Legacy in Democracy and Rule of Law

The Law Society of Kenya (LSK) has mourned the death of former Prime Minister Raila Odinga, describing him as a monumental figure whose contribution to Kenya’s democracy and legal reforms will never be forgotten. In a statement, LSK President Faith Odhiambo said the society is deeply saddened by the devastating news of Raila’s passing, noting [...] The post LSK Mourns Raila Odinga, Hails His Legacy in Democracy and Rule of Law appeared first on Kahawatungu .