
Trump to meet Putin in Budapest to discuss ending Ukraine war
US President Donald Trump said Thursday he would meet again with Russian President Vladimir Putin in an effort to end the war in Ukraine.
US President Donald Trump said Thursday he would meet again with Russian President Vladimir Putin in an effort to end the war in Ukraine.
The Heads of State joined thousands of Kenyans at Nyayo Stadium to mourn Raila.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
As Raila Odinga's final resting place nears completion in Bondo, young men work tirelessly to prepare his grave, with Citizen TV's Sam Gituku joining them.
NAHODHA wa zamani wa Kenya Lionesses, Janet “Shebesh” Okello anaamini Kenya ni miongoni mwa washindani wanaopigiwa upatu kutwaa ubingwa wa Kombe la Afrika la raga ya wachezaji saba kila upande la wanawake litakalofanyika Novemba 15–16 katika uwanja wa RFUEA, Nairobi. Lionesses, ambao ni mabingwa wapya wa Safari Sevens, wamepangwa Kundi “B” pamoja na Ghana na Côte d’Ivoire. Kundi “A” lina mabingwa watetezi Afrika Kusini, pamoja na Zimbabwe na Mauritius, huku Uganda, Zambia na Burkina Faso wakiwa Kundi “C”. Kundi “D” linajumuisha Madagascar, Tunisia na Misri. Okello, ambaye amewahi kuchezea klabu za MIE Pearls na Nagato Blue Angels nchini Japan, amesema Alhamisi, Oktoba 16, 2025, kuwa Lionesses wako tayari kwa kibarua. “Kundi letu si baya. Tukifanya kazi kwa bidii tunaweza kumaliza juu ya kundi hilo. Kenya ina nafasi kubwa, lakini tunapaswa kutambua kwamba raga barani Afrika inakuwa. Uganda imeimarika, Madagascar ni nzuri, na Afrika Kusini itataka kulipiza kisasi baada ya kuwahangaisha kwenye mashindano ya dunia ya Challenger Series,” alisema Okello ambaye kwa sasa hana klabu. Afrika Kusini imetawala dimba hilo la Afrika mara 12, huku Tunisia na Kenya zikitwaa taji mwaka 2012 na 2018, mtawalia. Lionesses wamekuwa nambari mbili barani Afrika mara nane, mara saba nyuma ya Afrika Kusini ikiwemo mwaka 2023 na 2024. Kenya ilikosa huduma muhimu ya nyota Grace Okulu, Judith Okumu na Stellah Wafula wakati wa Safari Sevens. Lionesses walirarua Uganda 14–10 japo kwa jasho katika fainali ugani Nyayo, Nairobi hapo Oktoba 12. Tiketi za dimba la Afrika zinauzwa kwa Sh500 (kawaida) na Sh1,000 (VIP).
NAHODHA wa zamani wa Kenya Lionesses, Janet “Shebesh” Okello anaamini Kenya ni miongoni mwa washindani wanaopigiwa upatu kutwaa ubingwa wa Kombe la Afrika la raga ya wachezaji saba kila upande la wanawake litakalofanyika Novemba 15–16 katika uwanja wa RFUEA, Nairobi. Lionesses, ambao ni mabingwa wapya wa Safari Sevens, wamepangwa Kundi “B” pamoja na Ghana na Côte d’Ivoire. Kundi “A” lina mabingwa watetezi Afrika Kusini, pamoja na Zimbabwe na Mauritius, huku Uganda, Zambia na Burkina Faso wakiwa Kundi “C”. Kundi “D” linajumuisha Madagascar, Tunisia na Misri. Okello, ambaye amewahi kuchezea klabu za MIE Pearls na Nagato Blue Angels nchini Japan, amesema Alhamisi, Oktoba 16, 2025, kuwa Lionesses wako tayari kwa kibarua. “Kundi letu si baya. Tukifanya kazi kwa bidii tunaweza kumaliza juu ya kundi hilo. Kenya ina nafasi kubwa, lakini tunapaswa kutambua kwamba raga barani Afrika inakuwa. Uganda imeimarika, Madagascar ni nzuri, na Afrika Kusini itataka kulipiza kisasi baada ya kuwahangaisha kwenye mashindano ya dunia ya Challenger Series,” alisema Okello ambaye kwa sasa hana klabu. Afrika Kusini imetawala dimba hilo la Afrika mara 12, huku Tunisia na Kenya zikitwaa taji mwaka 2012 na 2018, mtawalia. Lionesses wamekuwa nambari mbili barani Afrika mara nane, mara saba nyuma ya Afrika Kusini ikiwemo mwaka 2023 na 2024. Kenya ilikosa huduma muhimu ya nyota Grace Okulu, Judith Okumu na Stellah Wafula wakati wa Safari Sevens. Lionesses walirarua Uganda 14–10 japo kwa jasho katika fainali ugani Nyayo, Nairobi hapo Oktoba 12. Tiketi za dimba la Afrika zinauzwa kwa Sh500 (kawaida) na Sh1,000 (VIP).
NAHODHA wa zamani wa Kenya Lionesses, Janet “Shebesh” Okello anaamini Kenya ni miongoni mwa washindani wanaopigiwa upatu kutwaa ubingwa wa Kombe la Afrika la raga ya wachezaji saba kila upande la wanawake litakalofanyika Novemba 15–16 katika uwanja wa RFUEA, Nairobi. Lionesses, ambao ni mabingwa wapya wa Safari Sevens, wamepangwa Kundi “B” pamoja na Ghana na Côte d’Ivoire. Kundi “A” lina mabingwa watetezi Afrika Kusini, pamoja na Zimbabwe na Mauritius, huku Uganda, Zambia na Burkina Faso wakiwa Kundi “C”. Kundi “D” linajumuisha Madagascar, Tunisia na Misri. Okello, ambaye amewahi kuchezea klabu za MIE Pearls na Nagato Blue Angels nchini Japan, amesema Alhamisi, Oktoba 16, 2025, kuwa Lionesses wako tayari kwa kibarua. “Kundi letu si baya. Tukifanya kazi kwa bidii tunaweza kumaliza juu ya kundi hilo. Kenya ina nafasi kubwa, lakini tunapaswa kutambua kwamba raga barani Afrika inakuwa. Uganda imeimarika, Madagascar ni nzuri, na Afrika Kusini itataka kulipiza kisasi baada ya kuwahangaisha kwenye mashindano ya dunia ya Challenger Series,” alisema Okello ambaye kwa sasa hana klabu. Afrika Kusini imetawala dimba hilo la Afrika mara 12, huku Tunisia na Kenya zikitwaa taji mwaka 2012 na 2018, mtawalia. Lionesses wamekuwa nambari mbili barani Afrika mara nane, mara saba nyuma ya Afrika Kusini ikiwemo mwaka 2023 na 2024. Kenya ilikosa huduma muhimu ya nyota Grace Okulu, Judith Okumu na Stellah Wafula wakati wa Safari Sevens. Lionesses walirarua Uganda 14–10 japo kwa jasho katika fainali ugani Nyayo, Nairobi hapo Oktoba 12. Tiketi za dimba la Afrika zinauzwa kwa Sh500 (kawaida) na Sh1,000 (VIP).
We mourn him because he was part of our collective soul.
We mourn him because he was part of our collective soul.
We mourn him because he was part of our collective soul.
We mourn him because he was part of our collective soul.
Kenya Airways has increased the number of flights to Kisumu over the weekend as the body of former Prime Minister Raila Amolo Odinga is expected to be transported to the lakeside city tomorrow. In a statement posted on X, the national carrier said it had added flights to accommodate the rising travel demand ahead of [...] The post Kenya Airways Increases Flights to Kisumu Ahead of Raila’s Body Arrival appeared first on Kahawatungu .