Samia pazuri kutwaa urais Tanzania bila upinzani wowote

Samia pazuri kutwaa urais Tanzania bila upinzani wowote

DAR ES SALAAM, TANZANIA TUME ya Uchaguzi Tanzania (INEC) mnamo Jumatano ilimzuia mwaniaji wa urais wa chama cha pili kwa ukubwa katika upinzani kushiriki kura kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba. Hatua hii sasa inamwacha Rais Samia Suluhu na wakati rahisi kushinda kura hiyo kwa sababu atakuwa akimenyana tu na wapinzani kutoka vyama vidogo vidogo. Suluhu na mgombeaji mwenza wake Emmanuel Nchimbi waliidhinishwa kuwania kura hiyo ya Oktoba 29, 2025. Uchaguzi huo utaandaliwa bila chama kikubwa cha upinzani Chadema kushiriki. Chadema mnamo Aprili iliondolewa baada ya kukataa kutia saini mwongozo wa kuendesha uchaguzi huo wakati huo chama hicho kikiwa kinapigania mageuzi kwenye sheria za kura. Jumatano, INEC ilikataa kupokea karatasi za uteuzi kutoka kwa Luhaga Mpina wa chama cha ACT Wazalendo, ambacho ni cha pili kwa ukubwa katika upinzani baada ya Chadema. Awali Jumanne, Afisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa ilimpiga marufuku Mpina ikitaja malalamishi kutoka kwa wanachama wa chama chake waliodai ACT Wazalendo haikufuata utaratibu kwenye mchujo. Mpina amekuwa mkosoaji mkubwa wa serikali na alikuwa amehama chama tawala cha CCM awali mwezi huu. “Uamuzi huo ni aibu na unaibua maswali kuhusu uwazi kwenye uchaguzi na iwapo tume yenyewe inaendesha kazi yake kwa njia huru,” akasema Ado Shaibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo. Suluhu anawania urais kwa mara ya kwanza baada ya kuingia afisini mnamo 2021 kutokana na mauti ya aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli. Uteuzi wa wanaoshiriki uchaguzi ulitamatika Jumatano na sasa Suluhu na wapinzani wake ‘wadogo’ wataendeleza kampeni kali ya kuingia ikulu.

Seven more bodies exhumed, 54 body parts recovered at Kwa Binzaro, Kilifi

Seven more bodies exhumed, 54 body parts recovered at Kwa Binzaro, Kilifi

At least seven more bodies were exhumed at Kwa Binzaro village in Kilifi county, with an additional 54 body parts collected scattered across the forest. This increased to 31, the number of bodies so far exhumed from the scene. Speaking at the scene, government pathologist Richard Njoroge indicated that the bodies had not fully decomposed, [...] The post Seven more bodies exhumed, 54 body parts recovered at Kwa Binzaro, Kilifi appeared first on Kahawatungu .

CDC director refuses to leave after White House order

CDC director refuses to leave after White House order

The director of the US Centers for Disease Control and Prevention (CDC) remains in a heated standoff with the Trump administration after the White House announced she had been fired. Susan Monarez – who has only been in the job for a month – refused “to rubber-stamp unscientific, reckless directives” and accused Health Secretary Robert [...] The post CDC director refuses to leave after White House order appeared first on Kahawatungu .

Trump’s ‘Alligator Alcatraz’ being emptied of immigrant detainees

Trump’s ‘Alligator Alcatraz’ being emptied of immigrant detainees

The number of people at Donald Trump’s controversial immigrant detention centre “Alligator Alcatraz” has dropped by half following a judge’s order to close much of the facility, according to border tsar Tom Homan. US media, citing internal emails between Florida officials, report the centre could be empty within “days”. The facility – located deep in [...] The post Trump’s ‘Alligator Alcatraz’ being emptied of immigrant detainees appeared first on Kahawatungu .

Judge orders new trial for officers in fatal Tyre Nichols assault

Judge orders new trial for officers in fatal Tyre Nichols assault

A federal judge in Tennessee ordered a new trial for three former Memphis police officers who were convicted on charges related to the fatal beating of Tyre Nichols in 2023. Judge Sheryl Lipman cited concerns of bias after the judge presiding over the original federal trial allegedly suggested one of the defendants was a gang [...] The post Judge orders new trial for officers in fatal Tyre Nichols assault appeared first on Kahawatungu .