
Govt Addresses Fate of KCSE Rehearsals Planned for Friday
The rehearsals were scheduled for Friday, ahead of the KCSE exams on October 21.
The rehearsals were scheduled for Friday, ahead of the KCSE exams on October 21.
Paradigm Tower Ventures strengthens its Rwanda presence with a $274.5 million IHS Towers acquisition, marking the latter’s exit from East Africa.
The Caf Champions League second preliminary round first leg match between Kenya Police FC and Sudan giants Al Hilal on Friday has been moved from Nyayo National Stadium to Moi International Sports Centre, Kasarani. Football Kenya Federation (FKF) on Thursday said they had made the change because of the funeral service of former Prime Minister […]
TAARIFA za kifo cha Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Amolo Odinga, maarufu kama Baba, zilitanda kote nchini Jumatano asubuhi huku mamia wakijitokeza kumuomboleza shujaa huyo. Kilio, simanzi na mshtuko vilitanda kila mahali — kutoka mitaa ya Nairobi iliyojaa makelele ya matatu hadi fukwe tulivu za Ziwa Victoria. Wakenya walipigwa na butwaa, wakitafakari maisha ya mtu ambaye alitambulika kama kigogo katika masuala ya siasa nchini. Kwa zaidi ya miongo minne, Raila alikuwa kigogo wa siasa za Kenya. Alipendwa, alipingwa, lakini hakuwahi kupuuzwa. Kwa wengi, alikuwa ishara ya ujasiri, demokrasia na imani kwamba Kenya inaweza kuwa bora. Paul Ochieng Ouma Gen-Z Nairobi anasema kuwa anamkumbuka B w Odinga kwani alikuwa kiongozi aliyependa kuwaungansha Wakenya. [caption id="attachment_179269" align="alignnone" width="300"] Paul Ochieng Ouma anasema Raila aliwaunganisha Wakenya. PICHA | WINNIE ONYANDO.[/caption] “Raila alikuwa mtu wa kuunganisha Wakenya. Uamuzi wake wa kujiunga na serikali ya Kenya Kwanza ulikuwa njia ya kutuliza hali ya nchi baada ya maandamano ya Gen Z. Alihakikisha amani na umoja ndani ya ODM na nchi kwa jumla. Huu ndio wakati ambao sisi kama vijana na kama taifa, tunapaswa kubaki pamoja na tusubiri mwelekeo kutoka kwa viongozi wetu. Raila alifariki akiwa serikalini, hivyo jukumu ni letu kuendeleza pale alipoachia.” Kwa Paul, hatua hiyo haikuwa udhaifu, bali hekima ya uongozi. “Alitaka amani idumu nchini baada ya maandamano,” anasema. “Alijua hakuna maendeleo bila umoja.” Kwa vijana wengi, Raila hakuwa tu mwanasiasa, bali kiongozi wa taifa ambaye alileta matumaini mapya. “Raila alikuwa mtu mwenye heshima na aliyepigania haki zetu,” anasema Kevin Otieno, mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Nairobi. [caption id="attachment_179270" align="alignnone" width="300"] Kevin Otieno, mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Nairobi anasema Raila alipigania haki za Gen-Z. PICHA | WINNIE ONYANDO.[/caption] “Aliwapigania vijana kama sisi, hasa kizazi cha Gen Z. Nakumbuka jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kwenye maandamano kupinga maamuzi yasiyofaa ya serikali. Alisimama nasi — si kwa maneno pekee bali kwa matendo.” Kwa Kevin, kifo cha Raila ni pigo kubwa kwa vijana. “Sasa tuna hofu,” anasema. “Tulikuwa tukimtegemea kutetea sauti zetu. Bila yeye, hatujui mustakabali wetu utakuwaje.” Kwa upande wake, Maxwel Kabaka anakumbuka maneno ya Raila ambayo sasa yanaonekana kama unabii. [caption id="attachment_179271" align="alignnone" width="300"] Maxwel Kabaka roho ya Raila Odinga ya ukombozi itabaki daima. PICHA| WINNIE ONYANDO.[/caption] “Hii ni siku ya huzuni sana,” anasema. “Nakumbuka Raila aliwahi kusema kwamba hataishi milele, lakini roho ya Raila Odinga itabaki daima. Alikuwa akimaanisha roho ya ukombozi. Ni jukumu letu sisi vijana kuendeleza mapambano pale alipoyaacha.” Kwa Maxwel, kipaji kikubwa cha Raila kilikuwa uwezo wake wa kuhamasisha. “Alitufanya tuamini kwamba mabadiliko yanawezekana. Alitupa matumaini kwamba mambo yangekuwa sawa siku moja.’
The applicants had initially filed a constitutional petition in 2023, accusing Browns Investments PLC and Lipton Teas & Infusions Kenya Ltd of systematic sexual harassment, discrimination and HIV infections through “quid pro quo” harassment by supervisors at their workplace.
A petitioner moved to court seeking to have the burial of ODM leader Raila Odinga stopped citing violation of the deceased's constitutional rights.
Thousands of UK claimants have filed legal action against US pharmaceutical and cosmetics giant Johnson & Johnson alleging people diagnosed with cancers were exposed to asbestos in its talcum powder, lawyers said Thursday.
Kenyans who were looking to attend Raila Amolo Odinga's burial have been hit with a big blow after the family announced plan to make it a private ceremony.
The interviews will now be conducted over three working days from October 21 to October 23, 2025.
Police lob teargas to disperse large crowds at Kasarani Stadium to allow the body of former PM Raila Odinga to be brought in for public viewing; injuries reported.
FKF changes venue of match between Kenyan champions and Sudan giants Al Hilal.
After a short interlude of pushing "body inclusivity" and plus-sized models to the fore, the fashion industry has returned to promoting thinness as a beauty ideal.
Raila Odinga will be buried on Sunday, October 19, at his family farm in Bondo, Siaya. Raila suffered a cardiac arrest in India where he was receiving treatment.
Police were forced to lob teargas canisters at the Moi International Sports Centre, Kasarani, on Thursday afternoon, during the body viewing of the late former Prime Minister Raila Odinga. The viewing was initially scheduled to happen at the Parliament Buildings, but due to the surging crowds, the government announced that the activity would take place […]
Rehearsals for the Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) examinations will proceed as scheduled tomorrow (Friday), despite the government declaring it a public holiday. Top officials at the Ministry of Education (MoE) confirmed that the rehearsals could not be rescheduled as it would interfere with the exam calendar. Friday was declared a public holiday in […]
The government has unveiled the official portrait of the late former Prime Minister Raila Amollo Odinga, who passed away in India on Wednesday, October 15, 2025. In a statement released to the public on Thursday, October 16, 2025, through Government Spokesperson Isaac Mwaura, the state announced the release of Raila Odinga’s official portrait to be […]