Probe as decomposed body is found in thicket near Syokimau hotel at JKIA

Probe as decomposed body is found in thicket near Syokimau hotel at JKIA

Detectives are investigating the death of a man whose decomposed body was found outside a hotel in Syokimau at the Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi. Security guards at the Hilton Garden Inn Hotel said they were on August 28, 2025 gone to check the level of water in tanks on the roof top of the [...] The post Probe as decomposed body is found in thicket near Syokimau hotel at JKIA appeared first on Kahawatungu .

Governor Mutai says political rivals plotted impeachment to avoid 2027 showdown

Governor Mutai says political rivals plotted impeachment to avoid 2027 showdown

Kericho Governor Erick Mutai has accused his political opponents of orchestrating his recent impeachment attempt as a strategy to avoid facing him in the 2027 general elections, arguing the process was driven by personal interests rather than genuine governance concerns. Speaking after successfully defending himself against impeachment charges at the Senate on Friday, August 29, […]

Mombasa trio charged with sodomy

Mombasa trio charged with sodomy

Three men were arraigned before a Mombasa court to answer to charges of defilement and committing indecent acts with two boys, one of whom is said to have a mental condition. The suspects, Abdalla Omar Athuman alias “Babu,” Shukri Aden Ali alias “Maalim,” and Salim Chege Rimo alias “Rasta” are accused of sodomizing a 15-year-old [...] The post Mombasa trio charged with sodomy appeared first on Kahawatungu .

Businessmen charged with conspiracy to defraud Mombasa Hotel land worth Sh100 million

Businessmen charged with conspiracy to defraud Mombasa Hotel land worth Sh100 million

Two businessmen were charged in a Mombasa court with conspiring to defraud a hotel chain of land worth Sh100 million. Isaac Juma Obila and Omar Guma Ibrahim appeared before Resident Magistrate Hon. Green Odera, where they faced charges of conspiracy to defraud, contrary to Section 317 of the Penal Code. According to the charge sheet, [...] The post Businessmen charged with conspiracy to defraud Mombasa Hotel land worth Sh100 million appeared first on Kahawatungu .

Asaka mumewe aliyepotea kufutia mgogoro wa ardhi

Asaka mumewe aliyepotea kufutia mgogoro wa ardhi

MIRIAM Ndunge Muya, 43, hana amani tena baada ya mumewe kupotea siku 21 zilizopita kufuatia mzozo wa ardh i. Mumewe Nicholas Alex Otieno, 47, aliondoka nyumbani kwao Mlolongo Phase IV mnamo Agosti 7, 2025 kwenda hospitalini kwa matibabu ya jeraha la kichwa na hajarudi tena.Alikuwa amejeruhiwa katika makabiliano baina ya wakazi na wahuni waliodaiwa kuingilia mgogoro wa ardhi ya jamii. Aliketi kwa huzuni nje ya ofisi ya Naibu Kamishna wa Kaunti Ndogo ya Athi River, akiwa amembeba bintiye wa miaka mitatu.Bi Ndunge alikuwa amepiga kambi hapo kwa zaidi ya saa sita tulipompata. Lengo lake lilikuwa wazi kutafuta majibu kuhusu aliko mumewe aliyepotea, Bw Nicholas Alex Otieno, mwenye umri wa miaka 47, ambaye alitoweka siku 21 zilizopita.Bi Ndunge alisema kuwa mumewe aliondoka nyumbani kwao eneo la Mlolongo Phase IV Mulinge mnamo Agosti 7, 2025 kuelekea hospitali ya karibu kutafuta matibabu ya jeraha la kichwa. Alisema siku ya awali, mumewe alikuwa amejeruhiwa wakati wa makabiliano kati ya wakazi na genge la wahuni waliodaiwa kuingilia mgogoro wa umiliki wa ardhi ya jamii.Akiwa amevaa sweta la kijani kibichi, suruali nyeusi na viatu vya plastiki vya wazi, Bw Otieno ambaye hufanya kazi za vibarua katika maeneo ya ujenzi ili kutunza familia yake, alimuaga binti yao wa mwisho kabla ya kuondoka lakini hakurudi tena nyumbani kama ilivyo kawaida. Majira ya saa kumi na mbili jioni, Bi Ndunge alikosa subira na akampigia simu mumewe. Ingawa aliahidi kurudi baadaye, alisema alionekana kuwa katika hali ya wasiwasi.“Nilipopiga simu, alizungumza kwa kifupi na kwa haraka. Alionekana kuwa katika hali ya taharuki na alikuwa akipumua kwa kasi. Alisema kuna mtu (bila kutaja jina) alimpa kazi ya muda kwenye jaa la karibu na mtaa wetu,” alisema Bi Ndunge huku machozi yakimtoka na sauti yake ikitetemeka, “Ilikuwa jioni sana na nikahisi kuna tatizo. Nilijaribu kumpigia tena lakini hakupokea simu zangu.”Haijulikani ikiwa Bw Otieno alifika hospitalini kutibiwa kabla ya kutoweka. Mahali alipokuwa kuanzia saa tatu asubuhi alipoondoka nyumbani hadi saa kumi na mbili jioni alipozungumza na mkewe kwa simu bado ni kitendawili. Mnamo Agosti 9, 2025, Bi Ndunge aliandikisha ripoti ya kupotea kwa mtu kupitia OB 22 katika Kituo cha Polisi cha Mavoko SNP, bila kujua alikuwa ameanza safari ndefu ya kutafuta majibu yasiyopatikana kutoka kwa jamaa, vituo vya polisi, hospitali na mochari – kuhusu aliko mumewe! “Kwa msaada wa marafiki na jamaa, tumemtafuta kila mahali lakini hatujafanikiwa. Nimepitia usiku wa upweke nikisubiri mlango kugongwa na mume wangu, ni uchungu sana,” aliongeza.Akimtaja mumewe kama mtu mchangamfu asiye na marafiki wengi wanaojulikana, alieleza hofu kuwa huenda wahuni waliomjeruhi siku moja kabla ya kutoweka kwake ndio walihusika na huenda wanamzuilia kwa siri. “Nahofia maisha yangu na ya binti yangu. Naomba maafisa wa usalama wanisaidie kumtafuta mume wangu. Kama alitekwa, naomba aachiliwe,” aliomba kwa sauti ya majonzi.Bi Ndunge alipokuwa amepiga kambi kwenye ofisi ya Naibu Kamishna wa Kaunti Ndogo ya Athi River, Bw Odidi Otieno, siku ya Alhamisi, kiongozi huyo alikataa kuzungumza na wanahabari kuhusu suala hilo. Aidha, wakazi waliokuwa wameandamana na Bi Ndunge walizuiwa kuingia katika jengo la DCC na maafisa wa polisi waliokuwa wamejihami, hali iliyokaribia kuibua kizaazaa. Hata hivyo, mzee wa kijiji wa Mlolongo Phase IV Mulinge Scheme, Bw Paul Ndunda, aliiambia Taifa Leo kwamba huenda Bw Otieno alikuwa mwathiriwa wa mgogoro wa umiliki wa ardhi kati ya wakazi na genge la wahuni ambao wamekuwa wakiwatisha kwa takriban miaka miwili sasa. Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Athi River Mashariki, Bw Anderson Mbae, alisema ofisi yake inafahamu kuhusu ripoti ya mtu aliyepotea na kwamba uchunguzi unaendelea chini ya usimamizi wa mashirika mbalimbali yanayoongozwa na Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI). “Maafisa wa usalama wanafanya kazi usiku na mchana kutatua fumbo hili la kutoweka kwa Bw Otieno. Ni mapema mno kubashiri sababu,” alisema Bw Mbae, akiwasihi jamaa na marafiki kushirikiana na maafisa wa usalama kwa kutoa taarifa muhimu zitakazosaidia katika uchunguzi.

Shakahola Massacre: Court hears painful accounts from families and detectives

Shakahola Massacre: Court hears painful accounts from families and detectives

The High Court at Mombasa heard chilling testimonies in the case where 30 suspects, among them controversial preacher Paul Nthenge Mackenzie, are charged with the murder of 191 children in the Shakahola massacre. Lady Justice Diana Kavedza Mochache heard testimony of four witnesses including a homicide detective and bereaved family members who relived the tragic [...] The post Shakahola Massacre: Court hears painful accounts from families and detectives appeared first on Kahawatungu .