
Govt Issues 30-Day Notice as Hundreds to Receive Funds
The move is part of government’s ongoing efforts to ensure Kenyans get back funds left inactive in banks and insurance firms.
The move is part of government’s ongoing efforts to ensure Kenyans get back funds left inactive in banks and insurance firms.
WAFANYAKAZI wa kandarasi katika Hospitali Kuu ya Kaunti ya Kakamega (KCGH) watalipwa nusu ya mshahara wao kuanzia mwezi Agosti, kutokana na uhaba mkubwa wa fedha unaoikumba hospitali hiyo. Hali hii inatokana na kucheleweshwa kwa malipo kutoka kwa Mamlaka ya Bima ya Afya ya Jamii (SHA), ambayo haijatoa fedha kwa huduma zilizotolewa na hospitali hiyo kwa miezi miwili mfululizo. Katika barua rasmi kwa wafanyakazi, usimamizi wa hospitali hiyo ulisema kuwa mapato ya kila mwezi yameshuka kwa zaidi ya nusu ikilinganishwa na hapo awali. “Kwa kuzingatia hali hii, tumekubaliana kwamba iwapo fedha hazitatumwa kufikia mwisho wa mwezi, idara ya fedha italipa nusu ya mshahara, na salio litakulipwa SHA itakapotoa pesa,” alisema Afisa Mkuu wa Usimamizi wa Afya katika hospitali hiyo, Bw Hillary Kiverenge. Aliongeza kuwa ucheleweshaji huo umezua mgogoro mkubwa wa kifedha, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika utoaji huduma. Hospitali ya Mukumu pia haijapokea fedha kutoka SHA kwa miezi ya Julai na Agosti. Askofu Joseph Obanyi wa Kanisa Katoliki alielezea hofu kuwa hospitali hiyo inaweza kufungwa kama ilivyotokea kwa Hospitali ya St Mary’s, Mumias. “Hali si shwari Mukumu. Nimejulishwa kuwa hawajapokea fedha kwa miezi miwili sasa,” alisema Askofu Obanyi. Taasisi nyingi, hasa zinazomilikiwa na makanisa, zinakabiliwa na hatari ya kufungwa kutokana na kucheleweshwa kwa malipo halali kutoka SHA. Ingawa baadhi ya hospitali zimetuhumiwa kuwasilisha habari feki, changamoto kuu inayozikumba ni kutolipwa malipo halali, hali inayotishia uendelevu wa Huduma ya Afya kwa Wote nchini Kenya.
A video making the rounds on social media has captured the moment a lady shared her emotional story with social media users after ending things with her husband.
The Kenya Power has announced the areas that are set to experience power interruptions on Sunday, August 30. The interruptions will be experienced for eight hours.
A kid and his mother have moved into their new house thanks to compassionate good Samaritans. Esther and her son Asher used to live in a mabati house.
Busia Governor Paul Otuoma has sensationally claimed that former DP Rigathi Gachagua would cross ship and reunite with President William Ruto if his broad-based partner Raila Odinga were to ditch the president. Speaking during the burial of Ababu Namwamba’s mother, Mama Agatha Namwamba, in Budalang’i on Saturday, August 30, 2025, Otuoma said that the outspoken […]
Jackie Matubia has broken her silence after claims she was cheating with Steve Odek surfaced. The mother of two has since hinted to the reason she was with him.
Continued surge in outflows points to an increased number of foreigners betting on Kenya.
A petroleum tanker has overturned and exploded at Mahigaini, just past Marua along the busy Karatina–Nyeri highway, sending shockwaves across the region on Saturday afternoon, August 30, 2025. The incident caused a huge inferno, with thick black smoke billowing into the air, visible from far. The Kenya Red Cross confirmed the accident in a social […]
Footages show the tanker in flames at a sharp bend on the highway.
Okello Max has joined a growing list of celebrities who have undergone Botox. His video sparked reactions as his ex and current lover came out to fight each other.
PSC issued the notice to Kenyans about recruitment for different jobs in government offices.
The exemption allowed goods to enter the US duty-free aiding economic growth and commerce.
A Kenyan woman trended after admitting she could not remain faithful in relationships, blaming tough economic times and sparking heated reactions online.
Harambee Stars midfielder Anthony “Teddy” Akumu has completed a move to Lebanese Premier League side Nejmeh SC, the club officially announced on Saturday, August 30, 2025. In a statement posted on their official channels, Nejmeh described the Kenyan international as a seasoned midfielder with vast experience across top leagues in Africa and Asia. “From the […]
Morocco have beaten Madagascar to win the CHAN 2024 title. The Atlans Lions won the entertaining clash 3-2 at Kasarani in front of FIFA President Gianni Infantino.