
Details of Ruto’s Meeting With FIFA President Infantino
Ruto hosted Infantino, who was on his first visit to Kenya, at the State House in Nairobi.
Ruto hosted Infantino, who was on his first visit to Kenya, at the State House in Nairobi.
President William Ruto has sounded a warning to the opposition brigade to prepare for an early defeat at the ballot in the 2027 elections. Speaking to residents of Nandi County during a stopover in the country on Saturday, August 30, 2025, Ruto dismissed his critics as having nothing new to offer apart from empty slogans […]
President William Ruto delivered a mix of playful political jabs and assertive messaging while addressing supporters in Kapsabet on Saturday, August 30, 2025. Speaking after the installation of John Kiplimo Arap Lelei as the first Bishop of the newly established Catholic Diocese of Kapsabet, Ruto reminded political rivals of past slogans before introducing the latest, […]
Love Island season 7 winners Brian and Amaya have confirmed their split. The couple had won hearts with their love on reality TV only to breakup.
Gavana wa Kericho, Erick Mutai, alinusurika kung’olewa mamlakani kwa mara ya pili baada ya Seneti kuingilia kati dakika za mwisho – na kwa mshangao wa wengi, ni teknolojia iliyomuokoa. Katika mchakato uliogubikwa na utata, mjadala mkubwa ulijikita katika mfumo wa kura za dijitali uliotumiwa na Bunge la Kaunti ya Kericho. Mfumo huo ulizua maswali kuhusu uhalali wa kura 33 zilizopigwa dhidi ya Mutai. Baadhi ya Madiwani walidai hawakupiga kura, ingawa rekodi ya mfumo ilionyesha walishiriki. Wataalamu wa teknolojia waliotoa ushahidi mbele ya Seneti waligawanyika. Ripoti ya Mamlaka ya ICT ilisema kuwa mfumo huo haukuweza kuruhusu mtu kupigia kura kwa niaba ya mwingine. Hata hivyo, ripoti hiyo ilikumbwa na mashaka makubwa kwa kuwa iliwasilishwa bila saini ya upande wa Gavana, ilionyesha kuwa anwani moja ya intaneti ilitumiwa kupiga kura mara tisa, ilikosa ushahidi wa mafunzo kwa Madiwani kabla ya matumizim ilibainika kuwa mfumo uliwekwa usiku kabla ya kura kupigwa na mtaalamu aliyekuwa amefutwa kazi na serikali ya Mutai. Wataalamu wengine walibaini kuwa mfumo huo ulikuwa na dosari za kiusalama, na uwezekano wa mtu kupiga kura kwa niaba ya mwingine endapo angepata nambari ya kitambulisho cha mhusika. Kwa msingi huu, baadhi ya Maseneta walisisitiza kuwa haikuwa haki kumwondoa gavana kwa kutumia mfumo usio na uhakika, usiokaguliwa kikamilifu, na uliowekwa kwa haraka isiyokuwa ya kawaida. Seneta Jackson Mandago alieleza kuwa mfumo huo ulikuwa “gari la dharura” lililoundwa kwa lengo moja: kumtimua Gavana. Seneta Godfrey Osotsi naye alisema mfumo huo haukidhi vigezo vya Katiba chini ya Kifungu cha 86 kuhusu kura kuwa 'rahisi, sahihi, salama, na ya kuaminika.' Seneti iliamua kumpa Mutai nafasi ya pili, si kwa sababu hakuwa na makosa, bali kwa sababu njia ya kumuondoa ofisini ilionekana kuwa na shaka kubwa.
He lauds the set up of fan zones to accommodate the masses.
Morocco have won the CHAN 2024 title after defeating Madagascar in the final at Kasarani Stadium. The North Africans have also pocketed millions in prize money.
2025 has so far wrecked so many relationships with different celebs announcing their endings. TUKO.co.ke featured those who have so far parted ways.
The Kenya U20 Men’s Volleyball team is set to compete at the 2025 African Nations Volleyball Championship. The competition is set to start in the coming month of September, with the Wafalme Juniors among the teams confirmed for the continental championship, according to an update from the male volleyball team. Technical bench According to an […]
Stephen Mukangai mourned Brilly Owano, a loyal fan whose condition worsened after a hospital visit; she passed away days later, leaving many in shock.
Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i on Saturday, August 30, 2025, joined the Namwamba family in Busia to bid farewell to their matriarch, Mama Agatha Maina Namwamba. Fondly known as Naineki Nyambura Grade One, she was remembered as the pillar of the family and mother of former Sports CS Ababu Namwamba. Matiang’i used the solemn […]
Shift in the US immigration policy has triggered concerns.
A secondary school teacher has taken to social media to show people what a boy left for him in his examination paper. People begged the teacher for the boy.
The move is part of government’s ongoing efforts to ensure Kenyans get back funds left inactive in banks and insurance firms.
WAFANYAKAZI wa kandarasi katika Hospitali Kuu ya Kaunti ya Kakamega (KCGH) watalipwa nusu ya mshahara wao kuanzia mwezi Agosti, kutokana na uhaba mkubwa wa fedha unaoikumba hospitali hiyo. Hali hii inatokana na kucheleweshwa kwa malipo kutoka kwa Mamlaka ya Bima ya Afya ya Jamii (SHA), ambayo haijatoa fedha kwa huduma zilizotolewa na hospitali hiyo kwa miezi miwili mfululizo. Katika barua rasmi kwa wafanyakazi, usimamizi wa hospitali hiyo ulisema kuwa mapato ya kila mwezi yameshuka kwa zaidi ya nusu ikilinganishwa na hapo awali. “Kwa kuzingatia hali hii, tumekubaliana kwamba iwapo fedha hazitatumwa kufikia mwisho wa mwezi, idara ya fedha italipa nusu ya mshahara, na salio litakulipwa SHA itakapotoa pesa,” alisema Afisa Mkuu wa Usimamizi wa Afya katika hospitali hiyo, Bw Hillary Kiverenge. Aliongeza kuwa ucheleweshaji huo umezua mgogoro mkubwa wa kifedha, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika utoaji huduma. Hospitali ya Mukumu pia haijapokea fedha kutoka SHA kwa miezi ya Julai na Agosti. Askofu Joseph Obanyi wa Kanisa Katoliki alielezea hofu kuwa hospitali hiyo inaweza kufungwa kama ilivyotokea kwa Hospitali ya St Mary’s, Mumias. “Hali si shwari Mukumu. Nimejulishwa kuwa hawajapokea fedha kwa miezi miwili sasa,” alisema Askofu Obanyi. Taasisi nyingi, hasa zinazomilikiwa na makanisa, zinakabiliwa na hatari ya kufungwa kutokana na kucheleweshwa kwa malipo halali kutoka SHA. Ingawa baadhi ya hospitali zimetuhumiwa kuwasilisha habari feki, changamoto kuu inayozikumba ni kutolipwa malipo halali, hali inayotishia uendelevu wa Huduma ya Afya kwa Wote nchini Kenya.
A video making the rounds on social media has captured the moment a lady shared her emotional story with social media users after ending things with her husband.