Wazee waidhinisha uteuzi wa Oburu Oginga kuongoza ODM

Wazee waidhinisha uteuzi wa Oburu Oginga kuongoza ODM

WAZEE kutoka Siaya wamempongeza Dkt Oburu Oginga kwa kuteuliwa kuwa Kaimu Kiongozi wa ODM, wakitaja uamuzi huo kuwa bora zaidi kwa chama hicho . Mnamo Alhamisi, chama cha ODM kiliamua kumteua Dkt Oginga, kuwa kiongozi wa muda wa chama ili kuongoza maombolezi na kipindi cha mpito. Uamuzi huo ulitangazwa na Kamati Kuu ya Kitaifa (NEC) jijini Nairobi. Wazee hao wanasema kuwa Dkt Oginga ndiye anastahili kusimamia chama katika kipindi hiki hadi kitakapochagua kiongozi rasmi, kutokana na uzoefu wake wa kisiasa na historia yake na Raila na ODM. Mzee Onyango Radiel, ambaye amekuwa karibu na familia ya Odinga, asema kuwa Dkt Oginga amewahi kuwa mbunge katika Bunge la Taifa, Bunge la Afrika Mashariki na sasa Seneta wa Siaya hivyo ana tajriba faafu kuongoza ODM. “Huu ni uamuzi bora kabisa. Kutokana na uzoefu huu mkubwa, tunaamini Oburu anaweza kutuongoza kama wanachama wa ODM,” alisema Mzee Radiel, aliyekuwa Mwenyekiti wa ODM tawi la Rarieda, Siaya. Kulingana na wazee hao, kuna wengine waliofaa kuongoza chama kama Gavana wa Siaya, James Orengo, na Gavana wa Kisumu, Prof Anyang’ Nyong’o, ambao wamekuwa na Raila tangu zamani. Walieleza kuwa hawa ni watu waliokuwa na imani na Raila, wana mawazo yaliyo sawa na yake, na wana uwezo wa kuongoza ODM. “Tulikuwa na watu watatu akilini, Oburu, Orengo na Nyong’o. Wamekuwa na Raila kwenye mapambano. Chama kiko mikononi salama,” alisema Mzee Olang’o Nyabola. Katika ibada ya wafu ya Raila katika uwanja wa Nyayo, Nairobi, Dkt Oginga alikubali wadhifa huo kwa unyenyekevu. Alisema kwamba licha ya kuwa kaka yake, alimtambua Raila kuwa kiongozi wake kisiasa.

Nyumba ya mbunge yachomwa akiandaa mazishi ya Raila

Nyumba ya mbunge yachomwa akiandaa mazishi ya Raila

Polisi katika Kaunti ya Homa Bay wameanzisha uchunguzi kuhusu kisa cha kuteketezwa kwa nyumba ya Mbunge wa Rangwe, Dkt Lilian Gogo, katika kijiji cha Kotieno, Ijumaa usiku. Nyumba hiyo iliteketezwa moto mbunge huyo akishughulikia mipango ya mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Raila Amolo Odinga, akiwa mwanachama wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Rangwe, Magdaline Chebet, moto huo haukusababishwa na hitilafu ya umeme kwani wakati huo eneo hilo halikuwa na stima. “Tumeondoa uwezekano wa hitilafu ya umeme. Moto huu ulisababishwa na mtu aliyeuwasha kwa makusudi,” alisema Bi Chebet. Uchunguzi wa awali umeonyesha kuwa petroli ilimwagwa katika baadhi ya sehemu za nyumba kabla ya moto kuwashwa. Wakati wa tukio hilo, hakuna mtu aliyekuwa nyumbani, hali iliyofanya iwe vigumu kwa polisi kupata ushahidi wa moja kwa moja kuhusu chanzo halisi cha moto huo. Kamanda huyo wa polisi alisema alipokea simu usiku kufahamishwa nyumba hiyo ilikuwa ikiteketea. “Tulifika eneo la tukio tukakuta umati mkubwa wa watu waliokusanyika lakini walishindwa kuingia ndani kwa sababu lango lilikuwa limefungwa,” alisema. Nyumba hiyo imezungukwa na ua mkubwa wa mimea, hali iliyoathiri juhudi za uokoaji. Polisi walilazimika kuvunja lango ili kuingia ndani ya uwanja. “Tulipofika, sehemu ya sebule ilikuwa tayari imeteketea. Chumba cha kulala kilikuwa bado hakijaguswa lakini ilikuwa vigumu kukifikia. Vitu vichache tu kutoka jikoni ndivyo viliokolewa,” aliongeza Bi Chebet. Inakadiriwa kuwa mali ya thamani ya mamilioni iliteketea kwenye mkasa huo. Akizungumza baada ya tukio hilo, Dkt Gogo alisema alikuwa Kisumu kwa mipango ya mazishi ya Raila Odinga wakati alipokea simu kuhusu kuchomeka kwa nyumba yake. “Nilikuwa nimelala Kisumu nikishiriki maandalizi ya mazishi ya Mheshimiwa Raila. Sina hakika kilichotokea, nimeshtushwa na kusikitishwa sana,” alisema. Mbunge huyo alitoa wito kwa polisi kufanya uchunguzi wa kina na kuwakamata wote waliohusika na uhalifu huo wa kuchoma nyumba kwa makusudi. Polisi walisema Dkt Gogo alikuwa tayari ameomba ulinzi wa maafisa wa kike wa polisi kabla ya tukio kutokea. Kwa sasa ana mlinzi wa kiume. “Alikuwa ametuma ombi la kuongezewa mlinzi wa kike kutoka ofisini kwangu. Tulikuwa bado tunashughulikia ombi lake moto huo ulipotokea,” alisema Bi Chebet.

Public Viewing of Raila Odinga’s Body Begins in Kisumu Amid Tight Security

Public Viewing of Raila Odinga’s Body Begins in Kisumu Amid Tight Security

Public viewing of the body of former Prime Minister Raila Amollo Odinga has officially begun at the Jomo Kenyatta International Stadium in Mamboleo, Kisumu. The exercise started after a brief delay caused by a minor disruption at the venue, which was swiftly contained by Rarieda MP Otiende Amollo, Interior Principal Secretary Dr. Raymond Omollo, and [...] The post Public Viewing of Raila Odinga’s Body Begins in Kisumu Amid Tight Security appeared first on Kahawatungu .

Luo Council of Elders want to perform Raila’s final rites

Luo Council of Elders want to perform Raila’s final rites

Bondo Sub County Luo Council of Elders Friday appealed to Raila Odinga’s funeral organizing committee to incorporate them in the planning on how Raila’s body would be received at his Opoda farm on Saturday evening. The elders led by chairman Maurice Akong’o Oloo said that even though the funeral of the late Odinga is a [...] The post Luo Council of Elders want to perform Raila’s final rites appeared first on Kahawatungu .

Raila ajiunga na orodha ya waliokosa urais licha ya kupendwa

Raila ajiunga na orodha ya waliokosa urais licha ya kupendwa

KATIKA kifo chake, aliyekuwa waziri mkuu Raila Amolo Odinga, na kiongozi wa ODM, amejiunga na orodha ya viongozi wa Afrika ambao, licha ya umaarufu wao mkubwa na nguvu ya kisiasa, hawakufaulu kutwaa uongozi wa mataifa yao. Hawa ni watu waliobaki katika kumbukumbu za umma kwa misimamo yao na kupigania haki, ingawa hawakuingia Ikulu. Miongoni mwa majina haya ni Etienne Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambaye, licha ya ushawishi wake, hakuwahi kuwa rais. Viongozi wengine ni John Garang wa Sudan Kusini, Patrice Lumumba wa DRC, na Moshood Abiola na Obafemi Awolowo wa Nigeria ambao walivuma katika siasa za nchi zao lakini hawakushinda urais.. Profesa Herman Manyora, mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi, alisema Raila ataandikwa katika historia kama Rais ambaye Wakenya hawakuwahi kumpata. Mapokezi ya mwili wake yalionyesha alivyopendwa na watu, zaidi ya yale yaliyoshuhudiwa wakati wa kifo cha Moi na Kibaki.” Seneta Enock Wambua wa Kitui alisema ni huzuni Raila hakuwahi kuwa rais.

Senator Cherargei: Kalonzo betrayed Raila in 2007

Senator Cherargei: Kalonzo betrayed Raila in 2007

Nandi County Senator Samson Cheragei has stated that the Wiper Party leader, Kalonzo Musyoka, should not complain about being denied a chance to speak at the state funeral of former prime minister and ODM leader Raila Odinga at Nyayo Stadium on Friday, October 17, 2025. Cherargei’s sentiments come hours after his Kiambu County compatriot Karungo […]

Maj. Gen. Nyagah leads Raila’s day 3 programme at Mamboleo

Maj. Gen. Nyagah leads Raila’s day 3 programme at Mamboleo

Major General Nyagah, General Officer Commanding Western Command, is leading the third day of national mourning for former Prime Minister Raila Amolo Odinga at Mamboleo Showground in Kisumu, according to ODM. The Orange Democratic Movement (ODM) issued early morning guidelines through a post on X, instructing mourners to maintain order and observe a speech-free homage. […]

How To Check Screen Time On Samsung

How To Check Screen Time On Samsung

Monitoring how much time you spend on your phone can help you manage your habits, reduce distractions, and maintain a healthier digital lifestyle. Samsung smartphones have built-in features that allow users to track screen time easily. Whether you want to see daily usage, app statistics, or how often you unlock your device, this guide explains [...] The post How To Check Screen Time On Samsung appeared first on Kahawatungu .

How To Check RDP House Online

How To Check RDP House Online

RDP houses, also known as Reconstruction and Development Programme houses, are government-subsidized homes provided to low-income South Africans. The programme helps citizens who cannot afford housing to own decent homes. If you have applied for an RDP house or are waiting for allocation, you can easily check your application or ownership status online. The process [...] The post How To Check RDP House Online appeared first on Kahawatungu .

How To Check RCS Balance

How To Check RCS Balance

RCS is a popular financial services provider in South Africa that offers store cards, personal loans, and insurance products. If you use an RCS Store Card, it’s important to keep track of your available balance, outstanding amount, and payment due dates. Fortunately, RCS provides several convenient ways for customers to check their balances — online, [...] The post How To Check RCS Balance appeared first on Kahawatungu .