
The form Kenyans fill before joining the Russian army
Recruits must list spouses, parents, siblings and children
Recruits must list spouses, parents, siblings and children
MPs told that consumers are shouldering 17.5 per cent of the power loss.
Police had earlier claimed that Kimunyi was loitering around State House and attacked after...
Players say the traditional pads are heavy and less stylish, but coaches warn of risks of...
Neighbours say deteriorating mental health condition forced Kithuka Kimunyi to close down his...
SAFARI ya kumfurusha Seneta wa Kakamega Boni Khalwale UDA imeanza baada ya Kamati ya Nidhamu kumtaka ajibu madai kwa nini asiadhibiwe kwa kuchukua msimamo unaokinzana na chama kuhusu masuala mbalimbali yenye umuhimu. Bw Khalwale alichaguliwa kama seneta 2022 kupitia UDA na pia ni Kiranja wa Wengi kupitia chama hicho. Kamati ya nidhamu ya chama inayoongozwa na Wakili Charles Njenga imetaja hatua ya seneta huyo kuendelea kukosoa serikali na kumuunga mkono mwaniaji wa chama kingine katika uchaguzi mdogo wa Malava kati ya sababu ambazo zimesababisha Bw Khalwale ajipate mashakani. Katika uchaguzi mdogo wa Malava, Bw Khalwale amekuwa akiungana na viongozi wengine wa DAP-K kumpigia debe mwaniaji wa chama hicho Seth Ambusini Panyako. “Uungwaji mkono wako kwa mwaniaji huyo umekuwa peupe ilhali unafahamu unaenda kinyume na msimamo wa chama,” ikasema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Wakili Njenga. Chama hicho kiliendelea kumzomea Bw Khalwale, kikimfundisha kuhusu jukumu la seneta na sheria za chama zinavyosisitiza uaminifu kutoka kwa kiongozi yeyote. “Una siku 14 za kujibu barua hii na iwapo itabainika unastahili kuchukuliwa hatua, basi utaagizwa ufike mbele ya kamati hii, “Unashauriwa kuwa unaweza kujiwakilisha au kuwakilishwa na wakili na majibu yako yanastahili kuwasilishwa kwa sekretariati ya chama,” ikaongeza barua hiyo. Katika misururu ya mikutano ya kumpigia debe Bw Panyako, seneta huyo amekuwa akiwaka na kuwaonya wanasiasa kutoka nje dhidi ya kuingilia na kuamua siasa za jamii ya Mulembe. Pia amekuwa akitofautiana peupe na Rais William Ruto akisema amekuwa akipeleka miradi ya serikali Nyanza na kusahau eneo la Magharibi. Miezi miwili iliyopita, UDA ilimwandikia aliyekuwa seneta maalum Gloria Orwoba barua kama hiyo kwa kumuunga mkono aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiangí. Bi Orwoba aliishia kufukuzwa kwenye wadhifa wake na nafasi yake ikachukuliwa na Seneta Maalum Consolata Nabwire.
Behind the looms of a workshop in the heart of Addis Ababa, dozens of weavers deftly repeat the same motions to craft traditional dresses -- a centuries-old skill now threatened by Ethiopia's economic hardships.
The family of 55-year-old Kithuka Kimunyi has spoken out days after he allegedly killed a GSU officer guarding State House Gate D in a daylight attack.
A boda boda rider sued a Nairobi hospital for detaining his wife's body over a KSh 2.6 million bill, sparking a legal battle over dignity, debt, and burial rights.
Curious about Julio Rodriguez's girlfriend? Find out who she is, her story, how they met, and everything about their relationship in our detailed guide.
Dutch tech giant ASML warned Wednesday of a steep fall in its China business next year, as it booked flat net profits in the third quarter of 2025 compared with the same quarter last year.
Curious about Jaime Jaquez Jr's girlfriend? Explore her background, including how they met, what she does, and the latest news about their relationship!
Dutch tech giant ASML said on Wednesday it expected its sales in China to fall significantly next year, as it booked flat net profits in the third quarter of 2025 compared with the same quarter last year.
Discover the current estimate of Ruby Franke's net worth in 2025, how her income changed after her YouTube career ended, and the impact of legal issues.
Most of Africa's top countries will be at the expanded 48-team FIFA World Cup 2026 next year but the likes of Burkina Faso and Mali will have to watch from afar.
The Kenya Revenue Authority (KRA) has robustly defended its push for expanded access to digital transaction data, noting this would enhance compliance.