Collector
Giriş Yap
Mkuu wa Wilaya Kilombero ahimiza utuzanji mazingira | Collector
Mkuu wa Wilaya Kilombero ahimiza utuzanji mazingira

Mkuu wa Wilaya Kilombero ahimiza utuzanji mazingira

MOROGORO: MKUU wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Dunstan Kyobya, amesema mazingira ni msingi wa maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kushiriki kuyatunza kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye. Kyobya amesema hayo Juni 5, 2026 aliposhiriki Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 … The post Mkuu wa Wilaya Kilombero ahimiza utuzanji mazingira first appeared on HabariLeo .

Go to News Site