Collector
Giriş Yap
Kiswaga ataja changamoto jimboni mbele ya Dk Mwigulu | Collector
Kiswaga ataja changamoto jimboni mbele ya Dk Mwigulu

Kiswaga ataja changamoto jimboni mbele ya Dk Mwigulu

IRINGA: MBUNGE wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, ameibua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa jimbo lake, ikiwemo migogoro ya ardhi, upungufu wa vituo vya afya, uhaba wa mabweni ya wanafunzi wa kike na changamoto za maji, akiiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kuzipatia ufumbuzi. Kiswaga alitoa maelezo hayo leo mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri … The post Kiswaga ataja changamoto jimboni mbele ya Dk Mwigulu first appeared on HabariLeo .

Go to News Site