Sudan landslide kills over 1000 people, says rebel group -DW

Sudan landslide kills over 1000 people, says rebel group -DW

SUDAN: A “devastating” landslide has wiped out an entire village in the Marra Mountains in Sudan’s west, according to the Sudan Liberation Movement/Army. Only one person is said to have survived the catastrophe. A massive landslide in western Sudan’s Darfur region has destroyed a village, leaving over 1000 people dead, a rebel group that controls the area … The post Sudan landslide kills over 1000 people, says rebel group -DW first appeared on Daily News .

Belgium announces sanctions against Israel

Belgium announces sanctions against Israel

BELGIUM: Belgium will recognize Palestinian statehood and impose sanctions on Israel over its war in Gaza, the government announced on Tuesday. The small nation, which hosts the headquarters of both the EU and NATO, unveiled the measures on Tuesday as pressure grows on Israel to reach a ceasefire with Hamas and allow more humanitarian aid … The post Belgium announces sanctions against Israel first appeared on Daily News .

Mkurugenzi Puma ashauri wakuu taasisi za umma kuepuka urasimu

Mkurugenzi Puma ashauri wakuu taasisi za umma kuepuka urasimu

ARUSHA: Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah amewashauri wakuu wa taasisi zilizo chini ya Serikali kuzingatia ubunifu na kuondokana na urasimu ikiwa ni moja ya njia ya kuboresha utoaji huduma kwa wananchi. Mkuu wa Puma Tanzania alitoa rai hiyo jijini Arusha hivi karibuni wakati akiwasilisha mada katika mkutano uliowaleta pamoja wenyeviti wa bodi … The post Mkurugenzi Puma ashauri wakuu taasisi za umma kuepuka urasimu first appeared on HabariLeo .

DC Kondoa awasihi wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29

DC Kondoa awasihi wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29

KONDOA: MKUU wa Wilaya ya Kondoa, Fatma Nyangasa, amewasihi wananchi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika ziara ya Kata ya Serya, Nyangasa alisema wananchi wanapaswa kutumia haki yao ya kuchagua rais, wabunge na madiwani. Alitumia ziara hiyo pia kusikiliza kero za wananchi zikiwemo changamoto za daraja … The post DC Kondoa awasihi wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 first appeared on HabariLeo .

Wanahabari wapatiwa mafunzo kuelekea Uchaguzi Mkuu

Wanahabari wapatiwa mafunzo kuelekea Uchaguzi Mkuu

DODOMA : WANAHABARI wa Mkoa wa Dodoma wamepatiwa mafunzo ya usalama wa kimwili, kidijiti na afya ya akili kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mafunzo hayo yametolewa kupitia Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Maendeleo la Uswisi (SDC). Mwezeshaji kutoka Klabu … The post Wanahabari wapatiwa mafunzo kuelekea Uchaguzi Mkuu first appeared on HabariLeo .

NLD kuunganisha vijiji 5,000 maji ya bomba

NLD kuunganisha vijiji 5,000 maji ya bomba

DAR-ES-SALAAM : CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kimesema serikali yake itaunganisha zaidi ya vijiji 5,000 kwenye huduma ya maji ya bomba kufikia mwaka 2030. Kwa mujibu wa Ilani ya Uchaguzi ya NLD 2025-2030, chama hicho pia kitajenga visima virefu, mabwawa ya maji ya mvua na vituo vya kuchotea maji karibu na makazi ya … The post NLD kuunganisha vijiji 5,000 maji ya bomba first appeared on HabariLeo .

CCM yataka bandari za uvuvi Unguja, Pemba

CCM yataka bandari za uvuvi Unguja, Pemba

ZANZIBAR : CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaielekeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kujenga bandari mbili kubwa za uvuvi Ngalawa, Unguja na Shumba Mjini, Pemba. Kwa mujibu wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025-2030, uvuvi utaendelea kuwa sekta ya kipaumbele katika kuongeza ajira na kukuza uchumi. Ilani imeeleza SMZ pia itaelekezwa kujenga masoko makubwa mawili … The post CCM yataka bandari za uvuvi Unguja, Pemba first appeared on HabariLeo .

TCRA yatoa mwongozo SMS za Uchaguzi Mkuu

TCRA yatoa mwongozo SMS za Uchaguzi Mkuu

DAR-ES-SALAAM : MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mwongozo kuhusu usambazaji wa maudhui na arafa (ujumbe mfupi kwa simu za mkononi) za mkupuo kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. The post TCRA yatoa mwongozo SMS za Uchaguzi Mkuu first appeared on HabariLeo .

Msajili ahoji maelezo ugombea wa Mpina

Msajili ahoji maelezo ugombea wa Mpina

DAR-ES-SALAAM : OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia barua Chama cha ACT Wazalendo kikitaka maelezo kuhusiana na malalamiko yaliyowasilishwa na mwanachama wake, Monalisa Ndala, anayepinga uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea urais wa Tanzania kupitia chama hicho. The post Msajili ahoji maelezo ugombea wa Mpina first appeared on HabariLeo .

Mwanahabari apitishwa udiwani Handeni

Mwanahabari apitishwa udiwani Handeni

HANDENI : CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Handeni mkoani Tanga kimetangaza majina ya wagombea udiwani. Mwandishi wa habari na mdau wa maendeleo wilayani humo, Kambi Mbwana amepitishwa kugombea nafasi hiyo ya udiwani katika Kata ya Kwamatuku. The post Mwanahabari apitishwa udiwani Handeni first appeared on HabariLeo .